Mwezi uloisha alifiwa na baba yake mzazi... akiwa training Tanga hakua na mahudhurio mazuri mpka umauti ulipomkuta.. msikimbilie katika conclusion.. huyo alikua na depression
Mfanyabiashara anayo haki ya kuclaim Input tax aliyolipia wakati akifanya importation kama amefanya taxable supplies na amesajiliwa VAT. Sheria inatoa haki kwa pande zote mbili.. ila Wafanyabiashara wengi ni wabinafsi wanataka mapato yote yabaki kwao.. Sheria haimkandamizi mfanyabiashara...
Siyo hivyo... mfano usaili una majopo 10... kila jopo lina wanafunzi 20... wanacombine matokeo ya majopo yote na kupanga max kuanzia aliyepata max kubwa kuelekea ndogo (kwenye oral)
Nimepata ajira ya TRA, Sina connection, sina ndugu anaefanya kazi serikalini, sina ninaemjua utumishi, sikuvujishiwa mtihani, sikujua maswali ya oral.. Nilijiandaa vizuri mengine nikamuachia mungu.. Utumishi Wapo Fair.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.