Kipindi akiwa waziri wa mifugo alikua anavaa kombati za mgambo, sasa kwa namna tunavyomjua sasa hv atavaa mabomu kiunoni,bunduki kubwa afu sitashangaa kama akianza kutembelea kifaru.
Hata yeye mbona amegawa madaraka kwa watoto wa kishua, John Mongela ambae ni mkuu wa mkoa wa Mwanza, vipi kuhusu Makonda, sio hisani ile? Hussein Mwinyi, January Makamba
Inasikitisha sana vijana kutumika kuzima mijadala ya msingi kwa taifa hili, hizi agenda setting zinaletwa ili kuzima mambo ya msingi kwa nchi hii. Leo hii Division 4 ya Jesca imewafanya wengi wasahau swala la Lugumu. Jesca pia amekua maarufu hadi kuzima issue ya uhaba wa sukari. Vijana...
Ulitumia miezi kama mitatu na kusema umejifungia na kuangalia vigezo vya mawaziri wako watakaoendana na kasi yako,tulikua wagumu kuamini ila mwisho wa siku ukatuletea walevi.
Wakati mwingine ninafikiria kua hii ni agenda setting ili kuua na kuipunguzia nguvu kashfa ya Lugumi.
Media na waandishi wa habari naona gumzo limekua mchina kushika nafasi ya pili na kupata B ya kiswahili, mbona mshindi wa kwanza hawamzungumzii au kwa kua yeye si mchina!?
Ulimbukeni huu jaman,mchina anapewa airtime sana kuliko mtanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.