Naomba kujuzwa tofauti ya Kampuni Limited na Kampuni ya kawaida

3baed

Member
Feb 4, 2016
21
18
Naombeni kuelezwa utofauti wa Company Ltd na Company ya kawaida tu. Na je kuna vigezo gani vinahitajika kuanzisha Company ltd na Company ya kawaida
 
Naombeni kuelezwa utofauti wa Company Ltd na Company ya kawaida tu. Na je kuna vigezo gani vinahitajika kuanzisha Company ltd na Company ya kawaida

Umejibiwa vizuri hakuna kampuni iliyosajiliwa Brela kama kampuni ikakosa Limited, ikimaanisha kampuni inajulikana kisheria na inaweza kufunguliwa mashtaka ama kushtakiwa na haiingiliani na mmiliki wake, hata ikifilisika mali za wakurugenzi binafsi hazitahusika kulipa madeni ama mishahara ya wafanyakazi bali mali za kampuni zitakazokuwa zimebaki.

Kampuni yaweza kuwa na hisa au isiwe na hisa hapa ndipo kwenye utofauti wa kampuni hizi mbili.
 
Kampuni ambayo ni 'Limited' ni ya mtu au watu binafsi na kampuni ambayo ni 'Public' yenyewe huuza hisa kwa wananchi. Mtu yeyote anaweza kuuza na kununua hisa zake.
Na pia kampuni ambayo ni 'Limited' ina matawi yake.
 
Back
Top Bottom