Kwanza kabisa heshima mbele kwa wote wakubwa na wadogo!
Wadau nataka kufanya biashara ya kuuza vocha za jumla & rejareja inatakiwa niwe na msingi wa bei gani na wapi pakuanzia asante.
Natumaini kuna wana JF wanafanya au wanajua hii biashara nahitaji kujua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.