Faru_johny
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 343
- 305
Sasa sisi wa tandahimba habari hii ya sinza,tena kanisani inatuhusu nini ??... ulifkiria kwanza kabla ya kuweka post ?
Luthera ukichelewa utabaki mwenyewe kanisan
Kwa namna jf tunavyochangia mada,mkristo mkatoliki kuileta hii !!!,labda hana ujasiri wa kuwaambia viongozi sinza
Fr.Kimaro ameruhusije hili?
Jamani kwa hshima na taadhima, naomba kuwasihi viongozi wa kanisa katoliki Parokia ya Sinza, wapunguze matangazo. Matangazo mara baada ya ibada hasa za jumapili ni marefu mnoooo, Wazungumzaji kibao na matangazo ni yale yale, kila mzungumzaji anayatoa kwa ufundi wake. Kila kitu kifanyike kwa kiasi. Ubao wa matangazo utumike, watangazaji wajipange, mtu mmoja abebe hoja zote muhimu badala ya kila kiongozi kwenda mbele kusema lake. Matangazo ya miezi mingi ijayo yasubiri muda wake au yaanzie ngazi ya jumuia badala ya ibada kuwa kama mkutano.
Hebu subiri kwanza,je umeuona uongozi wa parokia(baraza la walei) kuwafahimisha hiyo kero? Mbona hii issue ndogo sana kama ungefuata taratibu za kanisa katoliki sinza?
Jamani kwa hshima na taadhima, naomba kuwasihi viongozi wa kanisa katoliki Parokia ya Sinza, wapunguze matangazo. Matangazo mara baada ya ibada hasa za jumapili ni marefu mnoooo, Wazungumzaji kibao na matangazo ni yale yale, kila mzungumzaji anayatoa kwa ufundi wake. Kila kitu kifanyike kwa kiasi. Ubao wa matangazo utumike, watangazaji wajipange, mtu mmoja abebe hoja zote muhimu badala ya kila kiongozi kwenda mbele kusema lake. Matangazo ya miezi mingi ijayo yasubiri muda wake au yaanzie ngazi ya jumuia badala ya ibada kuwa kama mkutano.