Pole,Imani yetu Kwa mama zetu ni kubwa sana na Kwa heshima tuliyowapa Huwa tuna Imani kuwa wapo sahihi Kwa Kila watuambiacho bila kukumbuka kuwa nao ni binadamu pia,wana mapungufu Yao.
Wakazi wa Msumi tujuane tafadhali!
Nimeishi huko mwaka wa 6 Sasa sijawahi jutia,..!!
Hivi mlitegemea serikali iweke maji kwenye ngedere,ijenge Barabara pasi watu kuwepo?
Punguzeni kukatisha Tamaa watu,Kuna jambo ukiliongelea watu tunajiuliza uwezo wako wa kufikiri.
Nimezaliwa kimara,hapakuwa na...
Hongera kwa kazi na kujituma pia,.
Vijana wa namna yako na yake mpo wachache sana.
Mwingine angeomba nauli ingekosekana lawama kwa wazazi,vijana wa sasa wanangoja kupewa.
Mungu akubariki upate unayoyahitaji.
Naomba kueleweshwa,ikiwa deni linasoma ml 5,600,000
Na nikahitaji kulilipa cash yote,je nitalipa na riba au zitaondolewa?
Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.