Je, naweza kuifunga (lock) TV iliyoibiwa?

Je, naweza kuifunga (lock) TV iliyoibiwa?

Mkuu nilikuwa offline sikuweza kukujibu mapema , Gharama ni 150,000 tu, ni kwa mara moja tu hakuna gharama nyingine
Mkuu tufafanulie hii tracker inafanyaje kazi. ? Tufafanulie zaidi najua utapata wateja wengi sana kupitia huu uzi
 
Nataka kununua nyingine. Lkn nataka kujirishisha kwanza nitumie mbinu gani.. incase wakija tena washindwe
kaka kwema, Umeshapata ufumbuzi wa TV yako. Njoo tukufungia GPS KWENYE TV. Hii gps itakusaidia kuipata tv yako kama imeibiwa
 
kaka kwema, Umeshapata ufumbuzi wa TV yako. Njoo tukufungia GPS KWENYE TV. Hii gps itakusaidia kuipata tv yako kama imeibiwa
Mkuu tracker ni bei gani?Isije ikawa bei yake inafanana na bei ya kununua TV nyingine
 
Mkuu tracker ni bei gani?Isije ikawa bei yake inafanana na bei ya kununua TV nyingine
Bei ya trakcer ni laki moja na themanini (180,000).inajumuisha pamoja na ufundi
. Inatakiwa usajili laini mpya pia ya simu kwa ahili ya kuweka kwenye hiyo GPS. mwaka wa kwanza hamna charges zozote .Kuanzia mwaka wa pili kutakuwa na gharama ya 30,000 kwa ajili ya App ya simu ya mkononi. Pia utawajibika kurushia salio kwenye line yako ya simu ya mkononi
 
Bei ya trakcer ni laki moja na themanini (180,000).inajumuisha pamoja na ufundi
. Inatakiwa usajili laini mpya pia ya simu kwa ahili ya kuweka kwenye hiyo GPS. mwaka wa kwanza hamna charges zozote .Kuanzia mwaka wa pili kutakuwa na gharama ya 30,000 kwa ajili ya App ya simu ya mkononi. Pia utawajibika kurushia salio kwenye line yako ya simu ya mkononi
Hiyo 30,000 ni malipo ya mwezi au mwaka
 
Mkuu tufafanulie hii tracker inafanyaje kazi. ? Tufafanulie zaidi najua utapata wateja wengi sana kupitia huu uzi
Mkuu,..ulifanikiwa kufunga tracker,mrejesho naomba
 
Back
Top Bottom