Recent content by 2gether

  1. 2

    Kwanini Moshi ni mji msafi kuliko yote Tanzania?

    waakazi wa Moshi ni waelewa sanaa.... kusafiiiiiiiiiiiiiiiii hadi raha, ukienda hotelini unajiskia raha huna shaka na chakula.
  2. 2

    Kapata kazi ya 120,000/= afanyeje?

    Safari moja huanzisha nyingine....
  3. 2

    Naomba lyrics ya huu wimbo wote

    Our God is an Awesome God!!!! Just try Him n u 'll see His Amazing miracles!!!!
  4. 2

    Naomba lyrics ya huu wimbo wote

    That's why our God is an Awesome God!!!! Just try Him n u 'll see His Amazing miracles!!!!
  5. 2

    Ni upumbavu kuua na kujiua kwa ajili ya mapenzi

    Kujiua sio issue wala nini......Maana wazazi wake walikua wa thamani kuliko hata huyo mdada walokutana tu ukubwani.. anyway, kajiua hasara ya nani???Mungu aliesema kwamba umri wa mwanadamu wa kuishi nimiaka 70 akiwa na nguvu miaka 80, je? wewe umekuwa nani unaepingana na Mungu mpk ujiue kabla ya...
  6. 2

    TANZIA: Member wa JF, Sunguti2009 afariki dunia

    AMEN. Na sisi tulobaki tukumbuke kujitakasa kila wakati maana Mwanadamu tumewekewa kufa mara moja tu, na baada ya kufa ni hukumu.
  7. 2

    Kapuya; Nihurumieni jamani

    mengine wanamsingizia itakua.Profu kabisa akae chini anaandika sms..!! hainingii akilini....
  8. 2

    Wasanii wa kike kama uko MP achana na steji jamani (Picha)

    mpuuzi kweli huyu dada...pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  9. 2

    Dada zangu wa kichaga jisafisheni kimapenzi maana sehemu kubwa ya jamii inawaogopa kimapenzi

    hayo ni mawazo ya mtu... wanawake wakichaga wengi wana akili sana ndo mana wanaume ambao HAWAJIAMINI wanawaogopa....Mi ningekuwa mwanaume ningeoa Mchaga
  10. 2

    Ndo yanayotokea kwenye ndoa zote jamani?

    Neema ya Mungu inahitajika hapo.Wewe mama kama Unaipenda ndoa yako usithubu kufanya hivyo ..cha kufanya msihi Mungu aiponye hiyo ndoa yako.Omba sana na soma Neno La Mungu kila siku...Mungu ni wa huruma na mwaminifu,usipozimia moyo...Atakusaidia.
  11. 2

    Hata kama ni ndugu zangu wa damu,sipendi tabia hii.

    Damu ni nzito kuliko maji............USITHUBUTU KUFANYA HUO UPUMBAVU....anza wewe kujenga mahusiano mazuri na wao watafuata....
  12. 2

    Utamwelezaje huyu baba ili aache tabia yake mbaya??

    Ni Baba yako mzazi (70-75age), anamtaka housegirl(20-25 age) kimapenzi tena kwa nguvu. Mama yako mzazi(65-68age) yupo; ndg zako wapo na kila mmoja analifahamu hili ila wanaogopa namna ya kumweleza baba.. maana baba ni mkali sana...ungekua wewe ungefanyaje, ungeanzaje kumweleza huyu baba ambae...
  13. 2

    Nampenda lakini hanijali

    teh...... huyo ni mwanaume au mwanamke!!!
  14. 2

    Kwao hawanitaki kisa mkurya.

    sio bure... hawa watu wa pande hizi wana roho ngumu sana, japo SIO wote...... kuua kwao ni jambo la kawaida sana.Ninawafahamu...... Wanapaswa kubadilika!!!hata kabila zingine ni wakatili na wakorofi LAKIN atleast wanakubali kubadilika......
  15. 2

    Huyu ndiye mchawi aliyedondoshwa na maombi ya makomandoo wa vhm alfajiri

    Huyu ndie Yesu mwana wa Mungu aliye hai......!!!!!!lazima tuzisifie kazi zake za kuangusha ngome za ibilisi na sio kuziamsha km mnavyofanya ninyi na hiyo dini yenu.....
Back
Top Bottom