Nampenda lakini hanijali

Nampenda lakini hanijali

Inawezekana lakini mimi nimeandika nilivyokuwa nikijisikia mimi!I cant speak in regard of him u know!na najua alikuwa hanipendi the whole thing was just a coincidence!
There's always other side of the story...pole though.
 
"Nadhani ukisoma ulichoquote utaelewa kwamba pesa haina thamani kwangu"kucare sio kupewa pesa bali kumjali mtu emotionally..kuwepo anapokuhitaji,kumthamini inahusika zaidi na hisia;kuzijali hisia za mwenzako!n.k
you are so nice mydia but pesa matters a lot bana, inabidi kuwa nazo ili maisha yasilete mushkeli
 
Niko kwenye mahusiano ya Takriban miaka minne na mwanaume ambae nimezaa nae mtoto mmoja.Tulikutana ktk chat tukapendana..baada ya kuonana Nikabeba ujauzito wake which is irresponsible i know coz tunaishi sehemu Tofauti.
Hanisaidii kwa huduma yoyote coz hana kazi thats fine Ila hata nikiwa nae hanisaidii hata ktk malezi ya mtoto(tupo nje ya nchi),anasema anataka kunioa na ananipenda lkn tatizo hanijali wala hajali feelings zangu akinikera,haoneshi mapenzi na mimi na Sifeel kama ananipenda coz hata nikiumwa hanijulii hali nampigia Simu mimi ananikemea Eti namuamsha usingizini na kuumwa naumwa mimi!!yaani kuna vituko vingi sana amenitendea huyu mwanaume siwezi kuvieleza vyote!!
sasa nimeamua kuachana nae Ila bado nampenda sana na namuwaza saa zote!!mnadhani nimechukua uamuzi mzuri kuachana nae au nifuate moyo wangu niendelee kuwa nae na niendelee kuumia?

Mpende akupendae! mpende akupendae! Asiekupenda ooh achana naeee!! - Abdul Misambano (TOT)
 
"I Will Always Love You"

If I should stay
I would only be in your way
So I'll go but I know
I'll think of you every step of the way

And I... will always love you, ooh
Will always love you
You
My darling, you...
Mmm-mm

Bittersweet memories –
That is all I'm taking with me.
So good-bye.
Please don't cry:
We both know I'm not what you, you need

And I... will always love you
I... will always love you
You, ooh

[Instrumental / Sax solo]

I hope life treats you kind
And I hope you have all you've dreamed of
And I wish you joy and happiness
But above all this I wish you love

And I... will always love you
I will always love you
I will always love you
I will always love you

I will always love you
I, I will always love you.

You.
Darling, I love you.
I'll always...
I'll always love you.
Ooh
Ooh!!!!!

kwako Smile .. whitney houston katoa message kali sana kwenye huu wimbo!

jaribu kupitia mashairi haya bi dada!
 
Last edited by a moderator:
naupenda huu wimbo sana ujue...thax a lot
"I Will Always Love You"

If I should stay
I would only be in your way
So I'll go but I know
I'll think of you every step of the way

And I... will always love you, ooh
Will always love you
You
My darling, you...
Mmm-mm

Bittersweet memories –
That is all I'm taking with me.
So good-bye.
Please don't cry:
We both know I'm not what you, you need

And I... will always love you
I... will always love you
You, ooh

[Instrumental / Sax solo]

I hope life treats you kind
And I hope you have all you've dreamed of
And I wish you joy and happiness
But above all this I wish you love

And I... will always love you
I will always love you
I will always love you
I will always love you

I will always love you
I, I will always love you.

You.
Darling, I love you.
I'll always...
I'll always love you.
Ooh
Ooh!!!!!

kwako Smile .. whitney houston katoa message kali sana kwenye huu wimbo!

jaribu kupitia mashairi haya bi dada!
 
Wanawake walio wengi wanatekwa kupitia mitandao ya kijamii.

Wewe unachat tu na kupenda? Hiyo chongo. Kupenda pia unapaswa umfahamu mtu.
 
Niko kwenye mahusiano ya Takriban miaka minne na mwanaume ambae nimezaa nae mtoto mmoja.Tulikutana ktk chat tukapendana..baada ya kuonana Nikabeba ujauzito wake which is irresponsible i know coz tunaishi sehemu Tofauti.
Hanisaidii kwa huduma yoyote coz hana kazi thats fine Ila hata nikiwa nae hanisaidii hata ktk malezi ya mtoto(tupo nje ya nchi),anasema anataka kunioa na ananipenda lkn tatizo hanijali wala hajali feelings zangu akinikera,haoneshi mapenzi na mimi na Sifeel kama ananipenda coz hata nikiumwa hanijulii hali nampigia Simu mimi ananikemea Eti namuamsha usingizini na kuumwa naumwa mimi!!yaani kuna vituko vingi sana amenitendea huyu mwanaume siwezi kuvieleza vyote!!
sasa nimeamua kuachana nae Ila bado nampenda sana na namuwaza saa zote!!mnadhani nimechukua uamuzi mzuri kuachana nae au nifuate moyo wangu niendelee kuwa nae na niendelee kuumia?

Kabla sijakushauri tena ngoja nikuulize kitu

Hivi huyu jamaa bado uko nae?
 
Tatizo la wanawake wengi, Wanataka ukimuo uwe naye tu, Na kibaya zaidi atataka sm yako umpigie yeye tu, Bila kujua kuwa una ndugu na marafiki wote wana mawasiliano na wewe.
 
Wanawake walio wengi wanatekwa kupitia mitandao ya kijamii.

Wewe unachat tu na kupenda? Hiyo chongo. Kupenda pia unapaswa umfahamu mtu.
Kila kitu kilitokea haraka mno siwezi kusema specific details zaidi ya nilizotoa!Ila uzembe unahusika kwa kiasi kikubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom