Awamu ya tano imekua tofauti kabsa na awamu zilizopita.Tunaona baadhi ya viongozi wanafanya kazi kwa kumuangalia mkuu atapenda hiki kitu (kijipendekeza) wakati huo huo wananchi ndio wanateseka ifike hatua tuseme HAPANA na imefika mbali hadi vyombo vya habari vinataka kumfurahisha mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.