255boy
Member
- Dec 16, 2016
- 13
- 4
Awamu ya tano imekua tofauti kabsa na awamu zilizopita.Tunaona baadhi ya viongozi wanafanya kazi kwa kumuangalia mkuu atapenda hiki kitu (kijipendekeza) wakati huo huo wananchi ndio wanateseka ifike hatua tuseme HAPANA na imefika mbali hadi vyombo vya habari vinataka kumfurahisha mkuu