Kuna watu siku zote usiku na mchana wanasikia sauti ya Risasi na Mabomu wanatamani wasikie hatuba nzuri kama za Rais wetu Magufuli zilizojaa matumaini nyie mnasema hazifai. Ningekuwa na uwezo wote nyie mnaopiga majungu ningewapakia kwenye ndege niende niwadondoshe Syria tuone kama hamtaitamani Tanzania yetu.Unataka kututia gundu na mwaka mpya, unadhani nani anahamu na hotuba zake kwa sasa? Labda mleta uzi
Kipi bora kumpa mtu pesa aweke mfukoni au umjengee miundombinu na vituo vya kupatia huduma ya Afya na elimu.Watanzania wa rangi ya kijani labda, kama wa wote mwambie apeleke rambirambi za Bukoba Kwanza,
Matokeo ya Syria ni tabia kama za huyo unaemuona mungu wako, watu waliminywa kunyimwa uhuru hayo ndo matokeo yake, endeleeni kudanganyana hapo lumumbaKuna watu siku zote usiku na mchana wanasikia sauti ya Risasi na Mabomu wanatamani wasikie hatuba nzuri kama za Rais wetu Magufuli zilizojaa matumaini nyie mnasema hazifai. Ningekuwa na uwezo wote nyie mnaopiga majungu ningewapakia kwenye ndege niende niwadondoshe Syria tuone kama hamtaitamani Tanzania yetu.
Hakuna ubora kwenye utapeli, michango yetu tulitoa kusaidia wahanga sio kusaidia miundo mbinu, huo ni wizi hakuna zaidiKipi bora kumpa mtu pesa aweke mfukoni au umjengee miundombinu na vituo vya kupatia huduma ya Afya na elimu.
Mbona mmekasirika?.kama viongozi wengine wa dunia wanatoa hotuba izo ni vyema uwasikilize hao.
Bila shaka huyu ni "namalolo" maana huwaambii kitu kuhusu ndugu yao hawa watuLeo uko zamu? Wenzako kina Lizaboni wamekimbia. Nchi haina matumaini.
Sasa unataka busara kutoka kwa nani?
Bora tuanze mwaka vizuri sio kwa nuksi.
Badulisha hata jina basi lisionekane direct hivyo kuwa la ki namaloloKuna watu siku zote usiku na mchana wanasikia sauti ya Risasi na Mabomu wanatamani wasikie hatuba nzuri kama za Rais wetu Magufuli zilizojaa matumaini nyie mnasema hazifai. Ningekuwa na uwezo wote nyie mnaopiga majungu ningewapakia kwenye ndege niende niwadondoshe Syria tuone kama hamtaitamani Tanzania yetu.
Wajameni, sio Mwanamalundi tu ndiye atakaye pandaga ndege. Hata wamasae na walugulu pia wagogo na waKenya, wazugu na waalabu watapandaga na kupandaga pia kupandaga kwa kupandaga au kupandaga tundege tunavyo kujaga.Hivi kwani kuna ulazima wa yeye kuhutubia.??..unadhani atasema lolote la zaidi ya haya unayo yaona au unataka kusikia kaongeza ndege..??
Hivi hii Tanzania unaishi wewe tu na familia yako kiasi kwamba sisi wengine ni misukule hatuoni yanayoendelea? mpuuzi Sana wewe.Nani kakwambia rais Magufuli hashauriki? Halafu nahisi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Kwa taarifa yako Rais Magufuli ni Rais wa watanzania wote na yuko tayari kushauriwa na kila mtanzania.
Mpendwa usikasirike, tabasamu hata kidogo. MUNGU ni PENDO nasi tuwe na tabia ya kupendana. Tuziweke tafauti zetu chini, ndio tunamalizia mwaka. Kama tulichukizana na tusamehanage.Hivi hii Tanzania unaishi wewe tu na familia yako kiasi kwamba sisi wengine ni misukule hatuoni yanayoendelea? mpuuzi Sana wewe.