Recent content by 24 Megapixel

  1. 24 Megapixel

    Tupia picha ya kitu kilichokuvutia mpaka ukakipiga picha

    Nilikuwa nimepotea njia sehemu nilipita hapa kuulizia
  2. 24 Megapixel

    Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

    Hii jengo ndio lipo pia Geita mjini eneo la magogo, waliotoa hela ya ujenzi ni Tanesco wenyewe Wajenzi ni TBA wakisaidiwa na TEMESA (kama wajenzi washauri) Kama JPM angekuwa hai bado nadhani sasa hivi kungekuwa kunaendelea ujenzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam tawi la Chato ama chuo kikuu...
  3. 24 Megapixel

    Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

    Kwamba Haji hakuwahamasisha wachezaji wa Yanga dhidi ya Rivers na Zesco?
  4. 24 Megapixel

    Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

    Kwamba Haji ni sawa na mzazi? Mbona umetumia mfano ambao hauhusiki kabisa hapa?
  5. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Why umefunga PM yako?
  6. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Nakufuata PM mkuu
  7. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Ahsante sana mkuu, nipo kanda ya ziwa ila hata kama wewe haupo kanda ya ziwa unaweza kunitumia kwa bus na nikagharamia gharama za usafiri Njoo PM tuyajenge mkuu, nitashukuru sana aiseeee
  8. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Aiseee niunge nae nikutu natumia huku nikiwa natafuta tiba mkuuu
  9. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Ninacho tayari mkuu ila bado hakina msaada
  10. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Naona watu mnaleta kejeli na post yangu kwamba nijiamini sio? Yaani kama nipo vitani naona kabisa adui yupo na AK 47 na harafu mimi nina fimbo bado nijiamini Kina namna inayomfanya mtu ajiamini jamani mimi tatizo langu ni kubwa sana, narudia tena ni kubwaaaaa Nakutana na dhihaka sana mtaani...
  11. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Shida sio kumlizisha mwanamke shida ni mimi sifurahii tendo nakuwa kama ninat0mba kwenye ndoo ya maji Pesa ninayo inatosha kukufanya hata wewe umuache huyo ulienae mda huuu
  12. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Jaman acheni na masuala ya kunitia moyo nateseka ni kadogo kwakweli Na kila mwanamke ninaekutana nae analalamik, ila tatizo nimechukua baadhi ya mawasiliano hapa watu wanaonekana kutaka kupiga hela kupitia tatizo langu Mwenye ujuzi aweke nondo hapa huenda pia kuna wengine wenye tatizo kama...
  13. 24 Megapixel

    Kibamia kimekuwa kero wadau

    Kama zipo ndio uzianike hapa pia
Back
Top Bottom