Kibamia kimekuwa kero wadau

Kibamia kimekuwa kero wadau

Jaman acheni na masuala ya kunitia moyo nateseka ni kadogo kwakweli

Na kila mwanamke ninaekutana nae analalamik, ila tatizo nimechukua baadhi ya mawasiliano hapa watu wanaonekana kutaka kupiga hela kupitia tatizo langu

Mwenye ujuzi aweke nondo hapa huenda pia kuna wengine wenye tatizo kama langu wanaweza kupata msaada pia kupitia mimi

Mwenye ujuzi jamani aweke hapa
 
Mkuu alika wageni wawe wanakusaidia kupeleka moto kipindi wewe umejikojolea kimoko
 
Jaman acheni na masuala ya kunitia moyo nateseka ni kadogo kwakweli

Na kila mwanamke ninaekutana nae analalamik, ila tatizo nimechukua baadhi ya mawasiliano hapa watu wanaonekana kutaka kupiga hela kupitia tatizo langu

Mwenye ujuzi aweke nondo hapa huenda pia kuna wengine wenye tatizo kama langu wanaweza kupata msaada pia kupitia mimi

Mwenye ujuzi jamani aweke hapa
Una umri gani kwanza..?

#MaendeleoHayanaChama
 
Jaman acheni na masuala ya kunitia moyo nateseka ni kadogo kwakweli

Na kila mwanamke ninaekutana nae analalamik, ila tatizo nimechukua baadhi ya mawasiliano hapa watu wanaonekana kutaka kupiga hela kupitia tatizo langu

Mwenye ujuzi aweke nondo hapa huenda pia kuna wengine wenye tatizo kama langu wanaweza kupata msaada pia kupitia mimi

Mwenye ujuzi jamani aweke hapa
Picha
 
Kikubwa unakojoa so unaeza kummimba mtu.hyo inatosha mengine waachie bbc
 
Mbona na wasiwasi mtoa mada atakuwa demu au shoga
 
Tatizo lako ni kutokujiamini sio kibamia.Mwanamke anahitaji zaidi romance kuliko mashine mashine huwa ni hitimisho la kupata yale maji tu.
Umekosea mkuu,wengi tukiona tu una kiarage hata kuguswa tu hatutaki .Mood inasepa.ukipiga romance na nguo zako bado wengine hatuloi bila kushika mtalimbo ukiwa ndani ya suruali
 
Umekosea mkuu,wengi tukiona tu una kiarage hata kuguswa tu hatutaki .Mood inasepa.ukipiga romance na nguo zako bado wengine hatuloi bila kushika mtalimbo ukiwa ndani ya suruali
Nakuja pm tusalimiane vizuri
 
Jaman acheni na masuala ya kunitia moyo nateseka ni kadogo kwakweli

Na kila mwanamke ninaekutana nae analalamik, ila tatizo nimechukua baadhi ya mawasiliano hapa watu wanaonekana kutaka kupiga hela kupitia tatizo langu

Mwenye ujuzi aweke nondo hapa huenda pia kuna wengine wenye tatizo kama langu wanaweza kupata msaada pia kupitia mimi

Mwenye ujuzi jamani aweke hapa

Kapige picha tukaone kwanza ndio tukupe ushauri..piga picha ikiwa imelala na ikiwa imesimama...usijioneshe sura yako
 
Kapige picha tukaone kwanza ndio tukupe ushauri..piga picha ikiwa imelala na ikiwa imesimama...usijioneshe sura yako

Ukishindwa kupost humu..nitumie inbox nitakushauri sababu huenda you are psychologically tourtered with pornographers
 
Acha upumbavu wewe! Kama huna cha maana cha kumshauri si ukae kimya? Mmezoea sana yaani mtu anataka ushauri wa kutatua tatizo, wewe badala ya kumpa njia au dawa husika unamuambia atafute pesa, upo timamu kweli kaka?
Mimi ni dada ila nasisitiza tena na tena mbele ya mwanaume mwenye pesa hutosikia maswala ya kibamia, hata huyu anaetaka dawa ya kuongeza kibamia akizipata pesa atajiamini ajione ana mguu wa mtoto.na hakuna mdada atamtangaza hicho kinjiti

Wewe nitukane matusi yote sijali, ila tafuta pesa.
 
Weka picha!!
Jaman eeeh! Naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitibu au kuna namna naweza tumia kuifanya mashine iwe kubwa

Nimekuwa nikikosa radha ya mapenzi kwa kuwa na kibamia yaani nikiwazamisha inakuwa kama nimeweka kidole cha mwisho vile

Huenda kutokana na udogo wa mashine ndio maana natumia mda mfupi sana kumaliza kiufupi huwa simalizi hata dakika imenifanya nmeshindwa kuwa na mahusiano ya kudumu kwa hawa wadada wa mtaani

Nimekuwa nikinunua malaya ila bado naona napoteza hela bure

Nisaidieni jamani kama kuna namna naweza kuongeza
 
Back
Top Bottom