Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

maatope

JF-Expert Member
Sep 19, 2013
1,424
957
Nikiwa kama mshabiki wa simba nawapa pole wote mnaoshindwa kununua tiketi za Jumapili, msiwe na wasiwasi ikifika Jumatatu wahusika watarudisha system yao vizuri

Mwaka jana walifanikiwa ku frustrate wanunuzi wa tiketi na mwaka huu bado siku mbili jamaa wanaupiga mwingi sana hadi sasa huku kina Kamwaga wakiwa busy kuhamasisha watu wanuunue tiketi ambazo wenye kumiliki system wanahujumu klabu kwa sabotage ya kibabe kabisa.

Basi tena labda tusubiri mwakani kama kutakuwa na sytem nyingine ya kununua tiketi angalau wao UTOPWINYO mwananchi day yao huwa haikumbwi na hujuma hizi zenye kiwango cha kimafia
 
Back
Top Bottom