Recent content by 2-Alpha Over

  1. 2-Alpha Over

    Nafasi za kazi ya ulinzi dar es salaam

    Hiyo uliyoandika 170k ni basic bila over time it means overtime hapo utamlipa 250k siyo ,nijibu hili.
  2. 2-Alpha Over

    Waraka wa Kwanza (1) kwa Wasabato wote

    Hatari sana...kuna kipindi nilikuwa nahudhuria kanisani kipindi nipo chuo kikuu..Huwa SABATO kunakuwa na ibaada mbili shule ya sabato na ibaada ya mahubiri,nilikuwa nasikiliza shule ya sabato tu kwajili ya visa baadhi na nyimbo za kusifu baada ya hapo nachomoka maana mahubiri mtu anaacha...
  3. 2-Alpha Over

    Waraka wa Kwanza (1) kwa Wasabato wote

    Haupo makini kabisa wewe...kuna sehemu nimesema kuna na la maana huwa nalipata,wewe hapo Kanisani kuna la maana unapata.. tatizo mnafungwa mno akili hadi mnakuwa ovyo sasa...muda mwingine fuatilia ata history ya kanisa S.D.A ujue...then ujue pia na civiliazition ngapi zimepita toka mwanadamu...
  4. 2-Alpha Over

    Waraka wa Kwanza (1) kwa Wasabato wote

    Mimi nimezaliwa na wazazi wasabato wote Baba na Mama,,nimekulia malezi ya kisabato,nimekuwa mtu mzima najitambua nikajitoa kwenye matrix ya ajabu ya mfumo wa dini zilizoletwa na mijamaa afu yenyewe haina habari kabisa...Dini mmeleetewa mzubae huko mkisubiria baraka na miujiza na matisho kibao...
  5. 2-Alpha Over

    Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

    Kulala ni kufa...acheni kujitoa ufahamu kulala unapumnzisha sehemu baadhi tu za mwili kufanya kazi...
  6. 2-Alpha Over

    Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

    Asee hutakiwi ata kutumia akili ya juu sana kuelewa hili..ukifa ndio imeisha imefurika hiyo..watabaki n kumbukumbu ukiowaacha tu kuwa ulikuwepo .hakuna maisha ya kitu kimeshakufa ..wake up dude .,[emoji41] mengine haya mnatiana moyo tu na hofu maisha yaendelee...
  7. 2-Alpha Over

    Kituo cha Polisi Musoma kimegharimu milioni 366 na siyo milioni 802

    Bado hata hapo ilipofikia haiwezi fika 300+mil...Bado sana mngesema 150m labda...
  8. 2-Alpha Over

    Mfano ukapata shida ya ghafla, una mtu wa kukusaidia kwa haraka?

    Aseee hii ishu ya kujichanganya nimejaribu sana pia lkn hakuna kitu wengine tumezakiwa hivo tu ,,toka Niko shule ngazi zote za masomo Nilikuwa nashindwa kabisa najikuta Niko mwenyewe au wawili Tena kawaida sana....Mpka Sasa naishi hivo... back up kubwa ni kuhakikisha ninafanya saving tu ...zaidi...
  9. 2-Alpha Over

    Religion is the perfect scam. They sell an invisible product that you can only test and verify after you die

    Huwa watu mnabishana nini hasa madini ni utapeli tu kubali ukatae...hakuna maisha baada ya kifo wewe ni kiumbe hai tu kama viumbe vingine ukifa ni mwisho hapo... Mengine ni bla bla tu za ajabu...Fungukeni akili wapendwa ...unazaliwa unarisishwa kitu .ingetokea unazaa watoto me na ke uwaweke...
  10. 2-Alpha Over

    Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

    Akili huna wewe tuishie hapo ,,hutakuja kuelewa umemezeshwa vibaya sana
  11. 2-Alpha Over

    Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

    Ndio bila shaka kabisa yoyote ukiweza agiza tu mojawapo ondoa shaka Mzee...nunua hata croned card zile
  12. 2-Alpha Over

    Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

    Hata Kwa cm Tor browser (Onion) unaingia vzr sana na upush madeal harama vzr sana ni wewe tu ,uwe na link tu inayokupeleka huko ,kama hutojali nikutumie uone mambo yalivyo...Hii Dunia wengine hawaishi wanadindikiza
  13. 2-Alpha Over

    Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

    Huwezi kumaster Kwa kusoma utube tutorial hizo ama course za vyuo uchwara hapa Bongo....soma nje ya nchi,pia kuwa connected na darkweb...ingekuwa rahisi ningeshare kitu hapa ubakie mdomo wazi jinsi darkweb inavyofanya kazi na the way watu wanavyotumia technology..wanamifumo Hadi ya kubadili...
Back
Top Bottom