Ingia google tafuta dc-unlocker software, download install kwenye laptop yako. Ifungue ingiza details za hiyo modem utakazotakiwa kuzijaza pale ikiwemo IMEI. Model ya hiyo modem utaikuta pale kama suggestion. Ukimaliza click unlock, modem itakata network ikirudi mambo yameisha! Nimefanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.