Mawasiliano ni muhimu katika mahusiano. Pole mwaya, kila kitu kinapangwa na Mungu, huyo hakuwa wako, kuna watu wanawekwa kwenye maisha yetu ili kutufunza vitu mbali mbali. Naamini utakayempata utampenda kupitia mafunzo ulopata katika haya yalopita. Cha msingi muombee kheir, niamini utapata mtu...
I feel you. Huenda huyo mtu hakuona future yoyote kwako, mapenzi hayalazimishwi. Wakati mwingine waoneeni huruma watu wanaowaacha, na wao wanastruggle kuwasahau. Sema hii side huwa hamuioni kwa vile mnakuwa mnaongozwa na lawama. Narudia tena, ni vigumu kuwa na mtu ambaye humpendi.
Pole sana weeh.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani alipotea vuup... Huwa najiuliza hadi leo ni nini kilitokea. Afu hatukuwa hata wapenzi labda nimdange, nakumbuka text ya mwisho alinambia anaenda angalia mpira angenitafuta simuni akirudi, dah hakurudi. Nilimpigia simu, text ila waapi. Niliumia sana kumkosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.