Kwani haiwezekani kununua zile rangi za kwenye chupa (za kwenye makopo) kisha ukachanganya? Nimewaza Maana umekuja na wazo zuri kipindi ninachotaka kufanya hizo mambo. Labda ndani naweza kupaka rangi ila kwa nje wazo lako lipo vizuri sana
Naamini haipaswi kuwa hivi hasa kwa tasnia nyeti kama ya sheria kwa sababu tusipoangalia hili mapema tunaweza kujikuta ni watu wa kutunga sheria na kuzitungua kila mara tofauti na nchi nyingine.
Kwa
Ukiangalia list ya wateule wote 22 utagundua kwamba zaidi ya asilimia 80 ya wateule wote kwa nafasi za ujaji wametokea mahakama na baadhi kwenye ofisi za wanasheria wa serikali.
Lakini mahakama kuu inasikiliza mashauri yenye wigo mpana zaidi mfano land tribunal, commercial, labour, tax...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.