mimi pia naunga mkono kwa ujuzi na uzoefu sio imani lazima hiyo gari ni kimeo mbaya kabisa old model na ina puti kibao(japo hazioneganagi mpaka uigonge)tunajua huwezi weka picha kwa ajili ya kuficha id yako ila still haitakuwa nzuri na naamini itakusmbua na kama utaona labda haisumbui kwa rate...
wewe dada unaishi nje ya ukweli afu mjini gafla wewe ndio maana umebuy sound za madalali...unajua hata udalali ni kazi rasmi kwa baadhi ya watu?wanaifanya kwa umakini so play safe...kweli watu wanashida na wanauza magari kwa bei chee na hata hiyo minada kweli ipo ila ni exceptional swali...
jamani wamepiga pini hawa wehu...mchemba ni mwehu...hivi unataka kuniambia hawa wakina mchemba ma smart wa chama wa kupewa majukumu mazito hivi mbona wamepewa vilaza....MCHEMBA WEWE NI KILAZA:A S confused: LICHA YA KUWA CHAMA TAWALA,KUWA NA DOLA NA KUTUMIA JESHI LA POLISI NA TISS BADO...
piga pini majambazi hawa!!!!!duh kweli jamaa ni wehu sana...na kuna siri zao nyingine mimi nitaziweka hapa...tutahak mpaka simu zenu za toch mwaka huu....
ndio mlivyojipanga yaani hata mambo yasiyo ya siasa mnaleta siasa...na nyie ndio mtakuwa mlitengenezaga muundo na utekelezaji mzima wa ile sokomoko ya babu seya nyie....ccm bwana
failure tena mbaya kabisa kwa bwana mdogo ziito!kwanza angejibu alichotuhumiwa mwanzo kuhusu kuwa yeye ni mnafiki!!hilo hajajibu afu anakuja na stori zake za kipomole hapa!!!!!!!!!!!!!!
vipi na ile tarifa ya kuchukua posho PAC nk kakanusha pia? aache kuruka ruka na amalize moja baada ya...
Acha ufreemasson wewe vichwa vipo chadema acha kujifanya chizi mbona nimeandika kitu rahisi sana tuu...afu pia hata ruco vichwa vipo au umekariri lazima iwe mlimani na mzumbe tuu....au akioza mmoja wote wameoza?wajinga bwana!!!!!!!
Zitto alijua hata hizo nyaraka za kale zimefutika...na zitto amepevuka siku hizi kawa jini nafiki na hivyo amekuwa makini zaidi...ushahidi wa maneno wa joshua nassar wa zitto kudandia vikao huko ughaibuni ili kuzifuata hizo posho unauomgeleaje wewe pomole
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.