Recent content by 123cholo

  1. 1

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    =mbisom ramos;9635855]niko tanga wilaya lushoto,,,,pm ukiwa tayari!!!! niko poa tuwasiliane kupitia 0716008855
  2. 1

    Environmental Science/Engineering: changamkia hilo deal

    .pdf yako mbona tuna download lakini haifunguki
  3. 1

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwl njoo shinyanga mjini shule ya old shinyanga mimi nije hapo tanga/dar/pwani/moro
  4. 1

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwl njoo shinyanga mjini shule ya old shinyanga mm nije hapo tanga,dar,moro au pwani
  5. 1

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo shinyanga mjini shule ya old shinyanga namba yangu 0716008855
  6. 1

    mliodisco km unaomba mkopo lipa 25% kwanza

    Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo bodi ya mkopo kitakufikilia Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewae
  7. 1

    mliodisco km unaomba mkopo lipa 25% kwanza

    Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo chuo kitakufikilia Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewa
  8. 1

    Hv sasa tuna apply mkopo au vyuo?

    Jamani naomba mnijuze hv ss watu wana apply mkopo au vyuo Maana watu wanazungumzia kuapply vyuo wakati matokeo yenyewe bado Jamani mm najua watu wanaomba mkopo na sio vyuo naomba nieleweshwe zaidi
  9. 1

    siasa ni aina ya biashara?

    wadau nimekaa na kufikili hv siasa ni biashara maana nikifikili naona siasa inahitaji 1. mtaji(pesa) 2. Wafanyakazi(watu wa kukupigia kampeni) 3. Soko la bidhaa( wananchi) 4. ................................. ni ulize kuna maskini anaweza kugombea na akashinda kwa hv sasa?
  10. 1

    biashara zetu ziwe za kweli na halali

    jamani hii inatokana na baadhi tunaoweka matangazo tunapotafutwa unakuta hatupatikani au unakuta kitu kinavyo tangazwa na ukikiona unakuwa hoi Jamani tutoe sifa km kitu kinachouzwa kilivyo sio unaisifia nyumba kumbe nyumba hipo bondeni alafu mda wowote inabomoka
  11. 1

    Natafuta nafasi ya kufundisha physics

    tuwasiliane kwa namba 0716 008855 mm ni mwl. wa physics
  12. 1

    Natafuta nafasi ya kufundisha physics

    mm ni mwl. wa physics nipo tayari kuja huko mafia naomba tuwasiliane kwa namba ya simu 0716008855
  13. 1

    Mwalimu bora wa Physics huyu hapa

    Ndugu zangu habari zenu Mimi ni mwl. Wa physics mwenye uzoefu wa kutosha Naishi dar Mawasiliano 0716008855 NATAFUTA SEHEMU YA KUFUNDISHA KWA MAKUBALIANO SEHEMU HIYO NI KAMA 1. Shule government/private 2. Education centre 3. Kwa mtu binafsi(yaani nyumbani kwake) Nb:Kwa mikoa iliyo karibu na...
Back
Top Bottom