Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo bodi ya mkopo kitakufikilia
Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewae
Nawakumbusha wale wanafunzi walio disco na mwaka huu wanataka kuomba mkopo wakumbuke kurudisha 25% ya ulichotumia ndo chuo kitakufikilia
Na ruhusu kufahamishwa zaidi au kukosolewa
Jamani naomba mnijuze hv ss watu wana apply mkopo au vyuo
Maana watu wanazungumzia kuapply vyuo wakati matokeo yenyewe bado
Jamani mm najua watu wanaomba mkopo na sio vyuo naomba nieleweshwe zaidi
wadau nimekaa na kufikili hv siasa ni biashara maana nikifikili naona siasa inahitaji
1. mtaji(pesa)
2. Wafanyakazi(watu wa kukupigia kampeni)
3. Soko la bidhaa( wananchi)
4. .................................
ni ulize kuna maskini anaweza kugombea na akashinda kwa hv sasa?
jamani hii inatokana na baadhi tunaoweka matangazo tunapotafutwa unakuta hatupatikani au unakuta kitu kinavyo tangazwa na ukikiona unakuwa hoi
Jamani tutoe sifa km kitu kinachouzwa kilivyo sio unaisifia nyumba kumbe nyumba hipo bondeni alafu mda wowote inabomoka
Ndugu zangu habari zenu
Mimi ni mwl. Wa physics mwenye uzoefu wa kutosha
Naishi dar
Mawasiliano 0716008855
NATAFUTA SEHEMU YA KUFUNDISHA KWA MAKUBALIANO SEHEMU HIYO NI KAMA
1. Shule government/private
2. Education centre
3. Kwa mtu binafsi(yaani nyumbani kwake)
Nb:Kwa mikoa iliyo karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.