Acha utumwa na unyonge wa ndoa Mwanaume wewe
ishi maisha yako kama hataki kuombwa msamaha aise
Unakuwa mtumwa wa mtu kisa unampenda
Unakosa amani mpaka unakuja kulialia hapa JF
Jua yeye akiwa kazini hakuwaziii wewe tena
Pengine amepata sababu na pakuanzia jambo lake
Nakuona unavyofuga Mamba kwenye beseni hapo endelea kuacha huo ujinga ukisubiri mkeo aende songea ikitokea jamaa akapiga simu kuwa niko ubungo dar na wewe uko kazini jua kaliwa
Huyo baba alienda kwa huyo mama wa pili na mtaji alioupata kutoka kwa mama wa kwanza ndio ikaanzishwa hiyo investment kwahiyo mi naona wagawane kama watoto na sio kama wawekezaji,
Wangekuwa wawekezaji ndio wangesema wafuate percentage
Sent from my SM-T225N using JamiiForums mobile app
Wakopaji wengi huanza kulalamika baada ua kutatua changamoto zilizokuwa zinakabili mkumbuke hiyo ni kama biashara zinginge na mbaya zaidi hii hiashara i atolewa macho na wengi
Kimahesabu iko hivi
24,000,000 -10,000,000=14,000,000faida ikijumlishwa na garama za bima na uendeshaji wa biashara...
Cha kufanya Ni kwamba lazima anue tu kuwa Mama mzazi Ni mhimu kuliko huyo mwanamke kwa kuwa Kama hawezi kuwa na upendo na Mama yangu Ni kwamba ananipenda mm kweli?
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.