Badala ya Viongozi wa Upande wa Wanachama kuja na majibu kuwa mchakato unakwama wapi na wanamsaidiaje mwekezaji kumaliza mchakato ili asiendelee kutoa pesa zisizo kwenye makubaliano nao wako busy kushindana naye[emoji1]
Simple tu huyo tajiri anayetaka kurithi nafasi ya Mo Dewji ajitokeze...
Vp wakuu natgemea kutoka dar to mwanza mwanzoni mwa mwezi wa nane .Aina ya gari ni premio ya cc 1490 inaweza tumia Lita ngapi za petrol kwa root hiyo...
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....
Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
Mambo vp wakuu..nahitaji kununua eneo maeneo ya kishiri fumagila.. mwenye uziefu na maeneo hayo plz naomba ufanunuz juu ya viwanja vinauzwaje huduma kama maji,umeme, hospital n.k
Dah huwa naona unajipa moyo na kikosi chako ila hukumbuki kuwa alhilal nao pia wanakikosi kipana tu na hii ndio inawaumiza sana uto baada ya matokeo ya dakik 90 huwa manaumia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.