Mwache aende mkuu japo ni ngumu kuhandle hali hiyo.
Chukua watoto uishi nao,hapo kwako itakuwa rahisi sana wewe kumsahau yy.halafu pambana kuzisaka kwa namna yoyote ile ili wanao wawe katika furaha tu.
Mwanamke akikutamkia hakutaki hilo ni jambo la kushukuru mungu sana tena sana.
Naamini kama...
Mkatie mtoto hiyo bima ya afya then nenda shule lipa gharama za mtoto na chukua mawasiliano ya hapo shule,baada ya hapo block namba yake na kila namba atakayotumia ukijua ni yeye wewe ni kublock tu.
Kuna wanawake jeuri na wasumbufu nyie hatari.
Hapo hujamuingiza ndani rasmi anakunyima,akiingia ndani rasmi kitakachofuata ni kuchomana moto.
Jombaa suala la mapenzi ni lako na mwenza wako.utashauriwa hapa lakini ukija ndani mawazo yanarudi kwako.
Za kuambiwa changanya na zako.
Ukijua hitaji lako la kuoa ni nini basi jibu utalipata kama...
Ndoa bhana ni kitu tata sana wakuu!!!!mtu aoe kwa matakwa yake na si kulazimishwa.
Mimi nimeishi na mwanamke kwa miaka 8 ila nimemuacha yapata miezi 3 sasa na siku 4.tulibahatika kupata watoto 2(ke/me),ila changamoto mi nilikuwa nazo tangu mwanzo huku mwisho uvumilivu ukanishinda ikanibidi kila...
Mbona mapovu sana wakuu?pweza mbona hajasema anauza?na kama idea mbona katoa kuwa anafanyaje?mlichoshindwa kumuelewa ni nini wakamalia mbona maelezo yake yako clear sana.
Sent from my SM-G615F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.