Unajua cyo wote wamefurahia ushindi wa LISU,lkn wote wajue kwamba tundu lisu ni mwanasheria makini na anajua sheria...mmesahau ushaidi alioutoa kuhusu uteuzi mbovu wa MAJAJI mwaka jana bungeni? ucchezee huyu jamaa bhana!!!
Ivi ni kwamba ndio kusema huyu nape nauye haoni hata aibu kuongea upuuzi wake mbele ya watanzania? haya!! kama siyo umbeya na unafiki,tuambia hizo fedha zimetoka kwa nani? tafuta hata kichaa tu,anaweza kukushauri kabla ya kuongea! ELIMU HAINA MWISHO.
Mimi naona hata tz tuwe na sheria ya kuwaadhibu marais waliofanya makosa ya jinai kama ilivyo misri, najua wengi mtachukia lakini ndio msimamo wangu...ckulazimishi ukubali wazo langu,kwani dawa za kulevya zinazokamatwa zinapelekwa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.