Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,580
- 23,915
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akiwahutubia wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa kuomba udhamini wa fomu ya Uraisi katika Mkutano uliofanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Zanzibar tarehe 8/8/2010!
Baadhi ya Wananchi waliofika kiwanjani wakimsikiliza Dk. Slaa.
Source: Blog Archives - wavuti.com
cc: Kitila Mkumbo, limau, chama/Ritz, ZeMarcopolo
cc: Moderator , Invisible, Paw