Ziara ya Dk Slaa Unguja yadoda mno

Ziara ya Dk Slaa Unguja yadoda mno

Status
Not open for further replies.





807915.jpg


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akiwahutubia wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa kuomba udhamini wa fomu ya Uraisi katika Mkutano uliofanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Zanzibar tarehe 8/8/2010!

2082989.jpg


Baadhi ya Wananchi waliofika kiwanjani wakimsikiliza Dk. Slaa.


Source: Blog Archives - wavuti.com

chama, hizi ni picha za mkutano wa kampeni uliofanyika mwaka 2010 mwezi wa nane...sasa hapa kuna mtihani; limau kaleta jamvini picha za uongo na misukule ya CCM kama chama inatoa nakala kwa Ritz! Nadhani kabla ya kuendelea zaidi kuna umuhimu wa kutunza heshima ya huu ukumbi wetu tunakoshindia baada ya kuhangaika juani. Swali kwa mods; hali hii ya kuzusha mambo imekuwa ikiongezeka kwa kasi ya ajabu na nyie mmeamua kulifumbia macho, je kulikoni? Hili Chungwa, samahani limau lipewe haki yake na misukule nayo ipewe onyo kali...upuuzi/ujinga katu usipewe nafasi jamvini, ni hilo tu...

cc: Kitila Mkumbo, limau, chama/Ritz, ZeMarcopolo
cc: Moderator , Invisible, Paw


 
Watu wamezoea umati wa kutengenezwa (malori na mabasi kuwasomba watu na kuwatelekeza kwenye mkutano, vilevile nchi hii ina watu wangapi hadi ulinganishe na kwenu mlio mamilioni? Hawa watu wanatosha sana.:kev:
 
Kwa Zanzibar hao watu ni wengi sana na wanatosha kabisa.

Acha ulaghai. Hapo hakuna mwanamke hata mmoja.

Watu wanaojua tamaduni za Zanzibar wanafahamu unapoita watu halafu asije mwanamke hata mmoja maana yake ni nini.

Kwa lugha nyepesi - he was seen as a joke.
 
hawa watu ni wengi sana,ukizingatiawamekuja wenyewe na hamna watoto wa shule ya msingi na sekondary ambao ccm wanawalazimisha kuvunja masomo na kuja kusikiliza
 
kwa zanzibar hao watu ni wengi na wanatosha. Kisiwa chenyewe kina watu wachache so ulitaka watu wote waje kwenye mkutano wa CHADEMA?:tape:
 
Ustaadh slaa. Hahaha.... siasa haina adabu
 
hii picha ya 2010,hiyo bandage kwenye mkono inadhihirisha hilo.magamba mmechemka rudisheni hiyo buku 7 fasta
 
Ilikuwa na watu wachache sana.
haikuwa na shamra shamra na watu wengi hawakuhamasika

807915.jpg


2082989.jpg

baadhi ya wananchi wa zanzibar wakimsikiliza Dk Slaa

Angalia na asilimia ngapi ya wakazi wa eneo hilo sio tu kuangalia idadi
 
zanzibar yenyewe ina watu wachache kama mkoa mmoja tu wa bara, picha zinavyoonyesha mbona ni wengi tu hao, au ulitaka zanzibar yote waje?
 
Je ametamka Salam za wazanzibar Zanzibar kwanza kule Hakuna pipospower Pamoja mmeweka picha ya 2010 akiwa ktk kampen ya urais alivyoanguka chooni si unauona mkono ulivyo
 
>Hao watu ni wengi sanaaaaaa! Hasa ukizingatia kwamba Zanzibar ni ngome ya cuf...hongera sana Doctor Slaa
 
Acha ulaghai. Hapo hakuna mwanamke hata mmoja.

Watu wanaojua tamaduni za Zanzibar wanafahamu unapoita watu halafu asije mwanamke hata mmoja maana yake ni nini.

Kwa lugha nyepesi - he was seen as a joke.

>Mkuu acha kufikiria kwa ma------.. Kwanza tamaduni za znz wanawake wanakaa peke yao.. Wako pembeni ..
 





807915.jpg


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA Dk. Wilbroad Slaa akiwahutubia wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa kuomba udhamini wa fomu ya Uraisi katika Mkutano uliofanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Zanzibar tarehe 8/8/2010!

2082989.jpg


Baadhi ya Wananchi waliofika kiwanjani wakimsikiliza Dk. Slaa.


Source: Blog Archives - wavuti.com

chama, hizi ni picha za mkutano wa kampeni uliofanyika mwaka 2010 mwezi wa nane...sasa hapa kuna mtihani; limau kaleta jamvini picha za uongo na misukule ya CCM kama chama inatoa nakala kwa Ritz! Nadhani kabla ya kuendelea zaidi kuna umuhimu wa kutunza heshima ya huu ukumbi wetu tunakoshindia baada ya kuhangaika juani. Swali kwa mods; hali hii ya kuzusha mambo imekuwa ikiongezeka kwa kasi ya ajabu na nyie mmeamua kulifumbia macho, je kulikoni? Hili Chungwa, samahani limau lipewe haki yake na misukule nayo ipewe onyo kali...upuuzi/ujinga katu usipewe nafasi jamvini, ni hilo tu...

cc: Kitila Mkumbo, limau, chama/Ritz, ZeMarcopolo
cc: Moderator , Invisible, Paw



dah! Asante sana kwa kumuumbua huyo mwana nyinyiem
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom