Recent content by 03lalalala10

  1. 03lalalala10

    Naomba msaada: TRA wamenikadiria kulipa kodi kubwa kuliko uwezo wa biashara

    Kwa anayehitaji huduma za mahesabu tuwasiliane 0719089000
  2. 03lalalala10

    DAR: Ofisi za IMMMA Advocates zawaka moto!

    Mbona haieleweki ni Bomu AMA moto?? Kama vitu havina uhakika ni bora kutovipost
  3. 03lalalala10

    Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa umma yatangaza nafasi za kazi 189

    Kwa kweli hii secretariat inatakiwa Iangalie utaratibu wa kudahil maana utaratibu wa kuitwa watu 1500 kisha mitihani inasahihishwa within 24hr na Majibu yanayoka kwa kweli ni uongo wa Hali ya juu!!! Ndio hapo inapikuja kuwa ni Bahati na Sibu kupata kazi serikalini
  4. 03lalalala10

    Msanii Wema Sepetu kujiunga na CHADEMA rasmi

    Huu ni ujinga siwezi amini emotions zinakivuruga chama, tunashauriwa tusifanye maamuzi wakati tukiwa na hasira.......hii ya Wema na Chadema naona ni mapema sana kuizungumzia,na ninaona kama vile BABA KTK FAMILIA AKIMKEMEA MTOTO BASI MTOTO AWE BA UAMUZI WA KUHAMIA KWA JIRANI THIS IS REAL NONE SENSE
  5. 03lalalala10

    Shilingi yazidi kushuka, 1 USD = 2223Tsh

    MTU ikiwa una utajili kisha roho yako ni ya kimaskini basi wewe Utakuwa ni maskini Wa kutupwa....ila kuna watu watafaidika na roho yako ya kimaskini..tutabaki tukiimbiwa nchi tajiri lakini hatua za kuonyesha huo utajili hakuna mfano mikataba ya Madini ambayo ipo ovyo ovyo iangaliwe upya,kufanya...
  6. 03lalalala10

    Bomu la Ajira litamlipukia Rais Magufuli

    Naona Alikosea kutoa huo mfano maana ameandika vizuri ila huo mfano umekuwa Wa kiajabu kidogo.....tuvute subira natumaini ajira nitakuja kumwagika
  7. 03lalalala10

    Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

    Sijayaelewa mavazi ya huyo mwanajeshi,imetangazwa na chombo kama TV yeyote leo zaidi ya mitandao ya kijamii??
  8. 03lalalala10

    Kesi ya Lema: Maswali ya msingi...

    Nitalia na siasa sana,kila kitu kuchukuliwa kisiasa ndio mambo yanayoiangamiza nchi yetu
  9. 03lalalala10

    Naombeni tujadili kidogo hili la Rais Magufuli kugawa pesa

    Naota tutafika siku tutabadili muelekeo Wa hoja
  10. 03lalalala10

    Lissu: Tunanyanyaswa Bungeni, tukitaka kuzungumza tunakatazwa, tukibisha tunakabiliwa na Polisi

    Kiuhalisia ukinyimwa kupaza sauti,ukinyimwa kupanda jukwaani ........nani atakusikia? Ukitumia kalamu ni shida pia kwa Sasa hakuna upinzani tena. Si tu naona hata waliojiuzulu kipindi cha mapambano wanarudi tena kwa wao ulinzi Upo hadi ofisini tutakuvunjia kufuli kuingia......mtwara...
  11. 03lalalala10

    Mikutano ya Makonda:Watumishi wa Umma ni uoga ua Upeo Mdogo

    Kwa ufupi watanzania wengi tuna nidhamu ya woga na tunakabidhiwa madaraka na hatujiamini katika madaraka tunayopewa,na wengi wetu tumepewa ajira kwa mlango Wa Nyuma hivyo hatujui tulifanyalo ktk utekelezaji Wa majukumu ya kila siku.
  12. 03lalalala10

    RC Gambo atoa pikipiki 200 kwa waendesha bodaboda Arusha

    Dar es salaam na Arusha yote haya ni majiji nashangaa Dar ukionekana na Pikipiki ni kukamatwa more especially maeneo ya Mjini lakini kwa Arusha vijana wanaongezewa Pikipiki. Kwa kweli huu mchezo hauhitaji hasira.
  13. 03lalalala10

    Special Thread ya Dar Mpya: Paul Makonda afanya Ziara Jijini la Dar kusikiliza kero za wananchi

    Kuna vitu vya kujiuliza tuache masiasa Sasa hivi kunaushindani mkubwa Wa maradio na matv naona kuna siasa za kijanja aidha kwa kutumia Mkuu mkoa kujitangazisha Ama wote wawili wanatumiana. Kasi za kutatua matatizo ya wananchi ndio tunataka kuziona
Back
Top Bottom