Dhambi ndo hukata hamu ya kwenda kanisani
Jitu lina piga punyeto , Jitu lina tembea na mwanamke asiye mke wake atakuwa na hata hamu ya ku-download app ya biblia kwenye simu yake?
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.
Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda...
Kifo sio ibada , huu ni ujinga uliofundishwa na mjinga asiejua kusoma na kuandika
Mbaya zaidi huyo mjinga aliekufundisha njia ya kwenda, alisema hajui anapokwenda na atakachokutana nacho muda kidogo kabla ya kufa
Inamana we hautakufa?
Ni wenye mamlaka tu , ndo hufa
Kuti bichi , linacheka kuti kavu lilivyoanguka(halijui na hilo litapitia)
Mi nazani ungefurahia kifo chako, kiwe ndo njia ya kukupeleka mbinguni kupumzika(kama umjiandaa)
But upo unafurahia baba kafa, ili urithi mali
Weka Airplane mode , alafu toa
Ikisumbua tena ,zima simu , toa line , alafu rudisha line na uweke Airplane mode na utoe
Itasoma
Pouvoir zina tatizo hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.