Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za muda huu! Rejea kichwa cha habari hapo Juu sisi ni waagizaji wa smartphones kwa gharama nafuu kutoka China specialized kwenye iphone na Samsung. Mzigo hutumia siku 8-14 kwa maana haizid...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wana JF kwa muhitaji wa chumba kimoja cha kuishi maeneo ya Mabibo anaweza kuwasiliana nami kwa namba 0672087564/0693785860. Bei ya chumba ni 50,000 kwa mwezi na inatakiwa kulipwa kodi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi...
3 Reactions
24 Replies
40K Views
Hello, je umeanzisha Kampuni au Biashara mpya na unatamani kuwa na website itakayobeba kampuni au biashara yako? au unayo Kampuni au Biashara muda mrefu tu, lakini umekuwa ukitamani kuwa na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nikon 3100 Used 9 months Bei 600,000/= Maongezi yapo. Mawasiliano WhatsApp 0743123946
1 Reactions
2 Replies
646 Views
TOYOTA GRAND MARK II CKU full Ac Haina kipengele. 5.8M Mbezi 0755155782
1 Reactions
4 Replies
889 Views
Specification -Kiwe sehemu tambarare -Kisiwe mbali sana na barabara (Morogoro road) 800 to 1km -Kuanzia sqm 500 -Pawe panafikika kirahisi Kama unacho nichek: 0765 494548 chap chap tufanye...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam wakuu Ni wapi naweza kupata suti za bei rahisi za 100,000 au 110,000 Lakini classic Maana nimezunguka Kariakoo nyingi ni kuanzia 150,000 hadi 180,000 Na mimi hiyo hela ya 150,000 sina.
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Nauza Sony Alpha NEX-5 14.2MP Digital Camera ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza vifaranga vya kanga , bata mzinga na kuchi pamoja na mayai. 1: Vifaranga bats mzima cha mwenzi mmoja Tsh 20,000 2:Vifaranga kanga mwenzi Tsh 3,000 3: Vifaranga kuchi mwenzi Tsh 10,000 1a...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari nataka kununua kwa bei ya jumla tambi za dengu,Karanga za Mayai,ubuyu mzuri(vinto),krips aina zote (viazi,mihogo,ndizi)wapi naweza kupata tafadhari
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Natafuta mawe haya toka Kondoa, Haneti-Yebo. Mwenye nayo tafadhali ani PM! Yote hapo juu natafuta, Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
128 Replies
31K Views
Kama Una Pembe za Ng'ombe kuanzia Tani 5 mpaka 10 Tuwasiliane, utupe bei yako, tukikubaliana tunafanya biashara. Popote pale ulipo Tanzania tupo tayari kufanya biashara na wewe..... Iwe kuanzia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Fungus au rangi kubanduka kwenye ukuta,imekuwa moja kati ya changamoto kubwa sana hasa kwa nyumba za daresalaam kwa sabab ya Mchanga au udongo wake una chumvi chumvi nyingi Maeneo mengine water...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari za wakati; Kwa wale ambao wana hanangaika sana kuhusu aina ya Biashara kiwango cha mtaji na usimamizi wa biashara zao tunawapatia huduma ya ama kuwaandalia a custom business plan au ready...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari wakuu, Natumai ni wazima wa Afya Tunauza bidhaa toka China kwa bei ya kiwandani... Kuanzia simu, nguo, saa, viatu, vyombo na urembo wa na vipodozi vya kina dada... Bidhaa ni za kuagiza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mvuti -kiboga, Mvuti ipo katikati ya mbagala na Chanika now kinauzwa kwa tsh 1.2m tu ukubwa 30x16m.kutoka Mvuti stand mpk site bodaboda tsh 2000 0657999034
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau ni aje,naomba kujua ni wapi naweza kupata matufaa au maapple yale makubwa na gharama zake kwa hapa dar es salaama,au la niwap naweza pata juice ya apple fresh kabisa iliyotengenezwa vizuri...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom