Nahitaji ma-apple kwa bei ya jumla

Nahitaji ma-apple kwa bei ya jumla

AKILI TATU

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
2,666
Reaction score
2,841
wadau ni aje,naomba kujua ni wapi naweza kupata matufaa au maapple yale makubwa na gharama zake kwa hapa dar es salaama,au la niwap naweza pata juice ya apple fresh kabisa iliyotengenezwa vizuri na kusindikwa kwa hapa dar
 
Apple zipo tafuta mtu aliyopo mbeya, tena Tunduma apple moja shilingi mia tano kwa pale Tunduma
 
nenda kkoo, pale kwenye kituo cha magari ya msasani ukiwa unalitazama soko wanakouza mboga mboga chini, mbele kuna frem wanauza vifaa vya uvuvi pita hilo duka mbele yako utaona wanauza kama sijasahau box la apple elfu 60
 
kwa kariakoo nenda mtaa wa gogo/mafia jirani na ofisi za taqwa pia unaweza zipata pale mivinjeni karibu ya yard ya kuuza magari.
 
nenda kkoo, pale kwenye kituo cha magari ya msasani ukiwa unalitazama soko wanakouza mboga mboga chini, mbele kuna frem wanauza vifaa vya uvuvi pita hilo duka mbele yako utaona wanauza kama sijasahau box la apple elfu 60
thanks mkuu
 
Kariakoo ndada na agrey street ulizia aramwile hotel chin hapo kuna office
 
Back
Top Bottom