Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

MWANZA | SHINYANGA | KAHAMA | KIGOMA | GEITA | TABORA (Tuletee kazi tukupe 10%) For your safety and security Services; - Un-armed Security Guards - Armed Security Guards - Dog Handlers -...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Mashine Ipo Ruguruni (Vituo Viwili kutoka Mbezi Mwisho) Tunakodisha kwa laki 5 kwa mwez kwa mashine zote mbili na godown lake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wapendwa karibuni mniungishe katika biashara yangu mpya nipo kutafuta mtaji wa kuanzisha catering ya kisasa ila nimeona nianzie huku kwanza. Bei zangu ni kama hivi: Makande + salad +...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari! Mimi ni Creative Logo & Brand Identity Designer mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika hii tasnia. Nimebobea katika kutengeneza professional, simple and clean logos kwasababu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Pata shuka new model kwa elfu 35 tu ukubwa ni 6.6×7 King size utapata shuka 1 na foronya 4. Wasiliana nasi 0719884746 Tunapatikana Ukonga Ukonga Magereza.
0 Reactions
41 Replies
6K Views
-Nyumba inapatikana Tabata Kimanga -Vyumba vitatu kimoja ni master -Sebule -Mahala pa kulia( dinning hall) -Choo na bafu la jumuia -Sakafu ya vigae -Kiwanja kina ukubwa wa 500 sqm -Kiwanja kina...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
-Inakopatikana : Kinyerez mwisho -Ukubwa wa kiwanja : sqm 700 -Idadi ya vyumba : 3 kimoja master sebule,dinning hall,jiko,choo na bafu la jumuia. -Nyumba ina finishing ya urembo na rangi ,vioo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za wakati na wasaa huu wana jamii forum. Basi leo nimekuja na ramani bomba ya paa la nyumba kama inavyoonekana katika picha hizi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Call/WhatsApp 0788622610 Brand new heavyduty commercial blender. Zinaweza kusaga matunda, juice,pilipili nk Zinatengeneza smoothie Zinauwezo wa kufanya kazi mda mrefu Ina jagi lita 2 Ina power...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wakuu,nauza viatu online na popote tunatuma kwa uaminifu mkubwa, nicheki whatsapp kwa picha zaid 0752157884
1 Reactions
14 Replies
5K Views
CHUPI ZA KIKE PURE COTTON PRICE:4,000 ******************** CAL.+255 788-224220 +255 767-562153 PIA TUNAUZA KWA BEI YA JUMLA ************************* TUNAFANYA DELIVERY MIKOANI TUNATUMA KARIBU
4 Reactions
77 Replies
11K Views
Clearance ya shuka, karibuni wakuu. Kuanzia 35,000 unapata Shuka pure cotton ,.. Usipate tabu ya kulalia shuka inanyanyuka na wewe kitandani. Shuka 1 foronya 4 Size 8*8 35,000 Shuka 2 foronya 6...
2 Reactions
4 Replies
703 Views
Habarin za sahiz jaman kuna ka birthday ka mtoto hiv karibuni. Nilikuwa naomba kuelekezwa kwa hapa Dar, studio inayofanya photoshoot na kuandaa background kama mfano wa picha niliyo attach hapa...
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Mm ni nashida ya kujua kiwanda kinacho tengeneza gumboots hapata Tanzanza ikiwezekana nipate namba za ma supplies.
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Nyumba ina vyumba Vinne, master moja, sebule jiko na store na Pamoja na chumba kimoja master kipo nje BEI:48 MILLION IPO MBAGALA SAKU 0677663936
0 Reactions
2 Replies
737 Views
Kama wewe upo town au sehemu yoyote ila ni muumini wa swag za kinjanja basi leo nakuletea wallet na saa ambazo zitaongeza thamani ya muonekano wako. Saa utaipata kwa sh 60000 na wallet ni sh 20000...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mashine Ipo Ruguruni , Vituo Viwili kutoka Mbezi Mwisho Gharama za Kukodi ni laki 5 kwa mwez mashine na godown lake...Maongezi yapo (Baada ya kukagua na kulizika)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari ndugu wadau! Naitwa Israel Stephan Mwingira, mhitimu wa Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Wanyama (B.Sc. Animal Science) kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)na mwanafunzi wa...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom