Habari ndugu zangu.
Nauza friji ndogo... bei ni sh 170000.
Inapatikana Kimara..ukihitaji waweza piga simu no 0692669235
Sent using Jamii Forums mobile app
NYUMBA INAUZWA CHANIKA MWISHO MJINI
KWA MILLION 21
UKUBWA WA ENEO SQM 400
WHATSAPP:+255 6 28 00 82 18
NIPIGIE:+255 7 10 01 32 34
INA VYUMBA VITATU VYA KULALA CHUMBA KIMOJA MASTER PUBLIC TOILET...
Unauza mtumba?
Karibu kwetu tukupe USHAURI, MAONI na MTAZAMO juu ya ubora wa bidhaa ya mtumba inayopaswa kukaa katika biashara yako.
Kwetu utapata mabalo ya bei rahisi, yenye nguo
1. Za kike...
Habari Wakuu,
Nina sehemu zangu za biashara ya vinywaji (groceries) hapa Arusha ninapouza pombe za viwandani (bia,Konyagi n.k). Nataka siku za weekend niwe nauza pia pombe ya mbege.
Natafuta mtu...
Tunatoa huduma ya kukodisha magari Aina ya Alphard kwa matumizi mbalimbali Kama vile:
1. Tours
2. Harusi
3. Sendoff
4. Kusafirisha Misiba
5. Picnic & Safari za kifamilia
6. Airport pick up
7...
Habari JF. Nafanya kazi ya uwakala wa utoaji mizigo Bandarini au Airport kutoka nchi za nje iwe kuagiza au kutuma (Import or Export) mfano: Dubai, China, UK, Japan nk.
Iwe kama unaitaji kuagiza...
Habari wana Jamiiforums mimi ni mhandisi umeme upande wa ushauri, kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuandaliwa na kutengenezewa michoro ya umeme(lighting with power system) pamoja na mfumo wa vifaa...
Tunaua wadudu wote wanaotambaa, wanaoruka n.k, wadudu ndani ya nyumba na mazingira yanayozunguka nyumba yako, kwenye maua, miti n.k. mfano kunguni, mende, nzi, panya, mbu, wadudu wanaokula mbao...
Habari!
Je wajua kua katika jiji la Dar es Salaam kuna Hifadhi ya Pori la Akiba Pande?Ni mojawapo ya Pori linalosimamiwa na MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA).Ni kilometa 45 tu...
Wakuu natafuta vitu tajwa hapo juu
1.Printer ndogo(all in one), iwe ya wino au laser
2.Photo printer ile ya kuprintia pasport size(complete set)
3.Digital camera ndogo
Bajeti ni pesa isiyopungua...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri.
Size ni 225 45R17
Continental ContiSport run-flat.
Bei...
Salute wakuu, ni matumaini yangu kila mtu anaendelea vizuri ktk harakati zake
Well, Mimi naamini ili ufanikiwe kuleta wateja zaidi ktk biashara yako na kuifanya ikue. Lazima uzingatie swala zima...
KARIBU UBEY-ELECTRONICSLTD DUKANI KWETU UJIPATIE TV LED SMART TV ANDROID TV
SUBWOOFER
HOME THEATRE
MICROWAVE #OVEN
BRENDA PASI
FRIDGE FREEZER NA VITU VINGINE VINGI
DUKA LETU LIPO DAR ES...
Habar wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kama unafahamu sehemu yoyote kwa Dar ambayo naweza kodi sehemu ya jiko! Au kama ni wewe ndio mhusika basi itakua vizur zaid tuongee na kufanya...
Habari great thinkers.
Nahitaji laptop mpya zenye warranty na specifications zifuatazo.
Hp G5 250
15.6'
Core i3 8th Gen
4GB Ram
1tb HDD
DOS
AU
Dell Inspiron 3593
15.6'
4GB Ram
Core i3 10th...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.