Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari ndugu zangu. Nauza friji ndogo... bei ni sh 170000. Inapatikana Kimara..ukihitaji waweza piga simu no 0692669235 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
71 Replies
9K Views
NYUMBA INAUZWA CHANIKA MWISHO MJINI KWA MILLION 21 UKUBWA WA ENEO SQM 400 WHATSAPP:+255 6 28 00 82 18 NIPIGIE:+255 7 10 01 32 34 INA VYUMBA VITATU VYA KULALA CHUMBA KIMOJA MASTER PUBLIC TOILET...
1 Reactions
75 Replies
10K Views
Wakuu! Nahitaji mwenyeji anayeweza nipangisha chumba katika eneo tajwa. Nikimpata mwenye nyumba itakuwa bora zaidi.
1 Reactions
1 Replies
885 Views
Unauza mtumba? Karibu kwetu tukupe USHAURI, MAONI na MTAZAMO juu ya ubora wa bidhaa ya mtumba inayopaswa kukaa katika biashara yako. Kwetu utapata mabalo ya bei rahisi, yenye nguo 1. Za kike...
3 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari Wakuu, Nina sehemu zangu za biashara ya vinywaji (groceries) hapa Arusha ninapouza pombe za viwandani (bia,Konyagi n.k). Nataka siku za weekend niwe nauza pia pombe ya mbege. Natafuta mtu...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Tunatoa huduma ya kukodisha magari Aina ya Alphard kwa matumizi mbalimbali Kama vile: 1. Tours 2. Harusi 3. Sendoff 4. Kusafirisha Misiba 5. Picnic & Safari za kifamilia 6. Airport pick up 7...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari JF. Nafanya kazi ya uwakala wa utoaji mizigo Bandarini au Airport kutoka nchi za nje iwe kuagiza au kutuma (Import or Export) mfano: Dubai, China, UK, Japan nk. Iwe kama unaitaji kuagiza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana Jamiiforums mimi ni mhandisi umeme upande wa ushauri, kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuandaliwa na kutengenezewa michoro ya umeme(lighting with power system) pamoja na mfumo wa vifaa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunaua wadudu wote wanaotambaa, wanaoruka n.k, wadudu ndani ya nyumba na mazingira yanayozunguka nyumba yako, kwenye maua, miti n.k. mfano kunguni, mende, nzi, panya, mbu, wadudu wanaokula mbao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari! Je wajua kua katika jiji la Dar es Salaam kuna Hifadhi ya Pori la Akiba Pande?Ni mojawapo ya Pori linalosimamiwa na MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA).Ni kilometa 45 tu...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu naomba mhusike na mada tajwa hapo. Baadhi ya tred za kufungia nati ya laptop yangu ya lenovo zimekatika, hivyo nahitaji kubadilisha housing.
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Wakuu natafuta vitu tajwa hapo juu 1.Printer ndogo(all in one), iwe ya wino au laser 2.Photo printer ile ya kuprintia pasport size(complete set) 3.Digital camera ndogo Bajeti ni pesa isiyopungua...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Leo nabadilisha tairi za gari yangu BMW 3-series E90. Nauza tairi ilizokuja nazo toka Singapore mwezi huu. Tairi bado zina tread nzuri. Size ni 225 45R17 Continental ContiSport run-flat. Bei...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Salute wakuu, ni matumaini yangu kila mtu anaendelea vizuri ktk harakati zake Well, Mimi naamini ili ufanikiwe kuleta wateja zaidi ktk biashara yako na kuifanya ikue. Lazima uzingatie swala zima...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
KARIBU UBEY-ELECTRONICSLTD DUKANI KWETU UJIPATIE TV LED SMART TV ANDROID TV SUBWOOFER HOME THEATRE MICROWAVE #OVEN BRENDA PASI FRIDGE FREEZER NA VITU VINGINE VINGI DUKA LETU LIPO DAR ES...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyosema, kama unafahamu sehemu yoyote kwa Dar ambayo naweza kodi sehemu ya jiko! Au kama ni wewe ndio mhusika basi itakua vizur zaid tuongee na kufanya...
0 Reactions
4 Replies
675 Views
Dkani inauzwa na sipika 2....mm nitakpa sipika 4....limot ipo inshot haina tatizo lolote bado mpya yaan .....tfanye biashara namba yang 0711342170
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Redmi note 8 pro Ram 8GB Storage 128GB Condition used like new Bei 450,000
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari great thinkers. Nahitaji laptop mpya zenye warranty na specifications zifuatazo. Hp G5 250 15.6' Core i3 8th Gen 4GB Ram 1tb HDD DOS AU Dell Inspiron 3593 15.6' 4GB Ram Core i3 10th...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom