imeldaB
Member
- Aug 23, 2019
- 39
- 68
Lipo eneo linaitwa igingilanyi. Eneo zuri kwa ufugaji na kilimo. Ukubwa wa shamba ni hekari 2.2 nyumba ya kijana ipo, kisima cha maji na bwawa la samaki ambalo linaweza kutumika kama msingi wa kujengea banda la kuku, nguruwe au kingine.
Barabara inafika mpaka shambani. Bei ni 10mil maelewano yapo. Kwa mawasiliano 0767086755, ongea na mmiliki moja kwa moja.
Barabara inafika mpaka shambani. Bei ni 10mil maelewano yapo. Kwa mawasiliano 0767086755, ongea na mmiliki moja kwa moja.