Shamba linauzwa Iringa

Shamba linauzwa Iringa

imeldaB

Member
Joined
Aug 23, 2019
Posts
39
Reaction score
68
Lipo eneo linaitwa igingilanyi. Eneo zuri kwa ufugaji na kilimo. Ukubwa wa shamba ni hekari 2.2 nyumba ya kijana ipo, kisima cha maji na bwawa la samaki ambalo linaweza kutumika kama msingi wa kujengea banda la kuku, nguruwe au kingine.

Barabara inafika mpaka shambani. Bei ni 10mil maelewano yapo. Kwa mawasiliano 0767086755, ongea na mmiliki moja kwa moja.
IMG_20200906_114957.jpeg
IMG_20200906_115129.jpeg
IMG_20200906_115011.jpeg
 
Shamba bado lipo jamani! Karibuni tufanye biashara
 
Elezea vizuri mahali eneo lilipo..wilaya gani
 
Lina zile hati za mauziano toka serikali ya kijiji tu bosi wangu
 
Elezea vizuri mahali eneo lilipo..wilaya gani
Lipo iringa barabara ya kuelekea Dodoma. Umbali wa km 20 toka iringa mjini. Na umbali wa km 1.5 toka barabara ya lami. Karibu bosi wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom