Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanajamvi, Maisha yamenitinga vibaya sana. Naulizia mashine za kugandishia lambalamba ambazo zimetengenezwa locally. Chini inakuwa na AC, alafu juu tumbo la fridge. Je, zinapatikana wapi...
1 Reactions
1 Replies
606 Views
jamani, nina mawe ya quartz karibu kilo 100+, nataka kuyauza sasa sijajua bei yake ikoje, naomba mnisaidie
0 Reactions
24 Replies
26K Views
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza...ninahitaji kioo cha simu ya iphone 5s au iphone 5s yenye i cloud tupate spare
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Features: usb Fm Radio Aux SD card inafaa sana kwa wenye PUB au sehemu ya kuuza vinywaji inafaa kwa mwenye duka anaetaka kuitumia kama speaker za matangazo inafaa kwa kukodisha kwenye event...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wakuuu Kitanda kinaunzwa cha chuma 5 kwa 6 kipya kabisa kwa 200k MAKUMBUSHO DAR ES SALAAM MEZA nzuri ya kujisomea hasa kwa wanachuo kwa 50k ina droo mbili za kutunzia vitu muhimu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba na eneo lake hipo Moshi bonite, eneo lina 20 kwa 20, Bei million 15, Piga 0683007848. Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta ile board ya kuchezea darts pamoja na ile mishale yake yaani full set. Nataka nitumie kama pambo ukutani na pia kuwafundisha watoto michezo tofauti na waliyozoea. Sehemu gani wanayouza...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa ➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme, ➡ Bei ni 2.3 ml 📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi .
0 Reactions
7 Replies
3K Views
TCL android TV inch 32 kwa laki 3 na 70 tu (370,000) Netflix,Bluetooth,google play store ,WiFi Storage 4GB, Location: Boko Bunju daresalaam Simu : 0625875487
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Habari wana jamii. Ninahitaji eneo kwa ajili ya biashara ya vitafunwa. Eneo linalohitajika liwe na mzunguko mkubwa wa watu (high foot traffic) na ni vema kama watu wanakesha usiku kucha. Kwa sasa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Nahitaji kukodi Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama kwa siku moja tu ya tarehe 12/12/2020. Nipo Dar na nitavihitaji kwa ajili ya shughuli Dar. Tafadhali mwenye navyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumbani Business Plan LTD Tunaendelea kukukaribisha uweze jipatia huduma bora na zauhakika kwaajili ya kutimiza malengo yako na kutimiza malengo ya biashara yako. Biashara yako ni rafiki yetu...
1 Reactions
3 Replies
563 Views
Kitabu hiki kinapatikana Mkoa wa MARA, DAR ES SALAAM, MOROGORO NA MWANZA. Kwa watu waliopo maeneo hayo au jirani na maeneo hayo wasiliana na mawakala wetu. KUPITIA KITABU HIKI CHA UMUHIMU WA...
0 Reactions
3 Replies
716 Views
habari.. Wadau kuna dogo amemaliza form 4 anadai anataka kusomea kompyuta.je ni kozi gani nzuri(inayoenda na upepo wa ajira kwa sasa) asanteni..
1 Reactions
17 Replies
7K Views
kuna kifurushi cha Azam pure cha mpira kinaisha tarehe 7 kimetumika miezi 2 tu 0686426298 Dar 100000/=
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi Ni full Ngozi kuanzia inner soli mpk mikanda, Sio zile wanaweka plastic(swappa) kwenye soli. Hazibabuki kirahisi, sio kwa jua wala maji.. TUSIANDIKIE MATE, ANGALIA MFANO. Hizi nimevaa...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari wana jukwaa hili samahani kwa mwenye wazo lolote la biashara lolote nalinunua tutaingia makubaliano ya kimkakati kwa muda wa miezi kadhaa atalisimamia likileta ufanisi namlipa pesa zake au...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Silver Cc 1290 Km 175,000 Mwaka 2005 Posta/kigamboni Haina DOSARI YEYOTE Mazungumzo yapo 0745321705
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapi wanatengeneza maturubai na je gharama yake ikoje?
0 Reactions
15 Replies
15K Views
Nahitaji kujua wapi nitapata huduma ya ku convert pound sterling notes kwenda kwa hela ya kibongo. Nimejaribu bureau de change za mkoani wakaniambia hawapokeagi wanaishia dollars tu. Hapa bongo...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom