NYUMBA INAUZWA
Mahali: Tabata kinyerezi
Ukubwa wa kiwanja: 770 sq. M
Namba ya vyumba: 3masterbedrooms, sebule, jiko, Choo cha jumuiya na stoo.
Huduma: umeme na maji yapo.
Bei: 90...
____________________________
Ni watengenezaji we vifaa vya Alminium kama vile
[emoji2389]Madisha
[emoji2390]Milango
[emoji2391]Makabani
[emoji2392]Office partition
[emoji2393]Balcony...
Habari ndugu,
Nataka kufunga car alarm system kwenye gari langu lakini sina utaalamu wa kujua ni kampuni gani napata car alarm nzuri na imara.Nataka car alarm system angalau isivuke tsh 200,000/...
NYUMBA INAPANGISHWA
Nyumba Ina sebule, jiko, kabati, Choo na chumba kimoja.
Mahali: Tegeta kituo cha Namanga karibu na Rabininsia Memorial Hospital.
Huduma: Maji, luku binafsi, heater, DSTV na...
HUDUMA INAENDELEA KUTOLEWA HAUJACHELEWA
🔥🔥🔥🔥HOME TUITION PROGRAMME (HTP)
IN DAR ES SALAAM 0784214792/0620875813
#Likizo Time Muda ndo huo
Mwalimu wa Geography and Biology kwa wanafunzi wa 🌏FORM...
WanaJF naomba msaada unaponunua gari kwa mtu kitu cha kwanza kufanya kabla yakuendesha ni kubadili kadi ya gari au ni kwenda police kuandikishana? Pia nasikia kuna mkataba wa kuiziana huo mkataba...
Wapendwa Wana jamvi,
Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri.
Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa)
Walau kufikia...
Rejea mada tajwa hapo juu.
Chumba cha kupanga kikubwa ft 14 na kuendelea chenye choo ndani, tiles, na gypsum kinahitajika haraka.
Chumba kiwe ndani ya fensi yenye geti.
Bajeti 100k kwa mwezi...
MAWASILIANO YANGU
0745298903 AU 0693084522
Bei yake 8,000,000 (maongezi yapo kidogo)
Ukubwa SQM 678 sawa na Mita 23 Kwa 30
Eneo lipo sehemu nzuri na iliyopangika sawa na ramani inavyoeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.