Napatia wapi mashine za kugandisha lambalamba?

Napatia wapi mashine za kugandisha lambalamba?

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
651
Reaction score
717
Habari wanajamvi,

Maisha yamenitinga vibaya sana. Naulizia mashine za kugandishia lambalamba ambazo zimetengenezwa locally. Chini inakuwa na AC, alafu juu tumbo la fridge.

Je, zinapatikana wapi na bei yake ni shilingi ngapi?

Ni maombi yangu kwa Mungu watu wataguswa na kunipa majibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom