JourneyMan
Member
- Apr 1, 2020
- 21
- 13
Hizi Ni full Ngozi kuanzia inner soli mpk mikanda,
Sio zile wanaweka plastic(swappa) kwenye soli.
Hazibabuki kirahisi, sio kwa jua wala maji..
TUSIANDIKIE MATE, ANGALIA MFANO.
Hizi nimevaa Mwezi wa kumi huu sasa
Haya mzigo wenyewe huu hapa sasa. Na nitakua napost picha kila siku nikiingiza dizain mpya
Bei ni elf 16,000 Tsh, ila kwa Namba 44 kwenda juu ni 17,000 tsh.
Usije ukafananisha hizi na zile nyingne, hizi nakuhakikishia ubora.
Sio zile wanaweka plastic(swappa) kwenye soli.
Hazibabuki kirahisi, sio kwa jua wala maji..
TUSIANDIKIE MATE, ANGALIA MFANO.
Hizi nimevaa Mwezi wa kumi huu sasa
Haya mzigo wenyewe huu hapa sasa. Na nitakua napost picha kila siku nikiingiza dizain mpya
Bei ni elf 16,000 Tsh, ila kwa Namba 44 kwenda juu ni 17,000 tsh.
Usije ukafananisha hizi na zile nyingne, hizi nakuhakikishia ubora.