Sputam
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 600
- 390
Habari ndugu,
Nataka kufunga car alarm system kwenye gari langu lakini sina utaalamu wa kujua ni kampuni gani napata car alarm nzuri na imara.Nataka car alarm system angalau isivuke tsh 200,000/ hapo ikiwemo na gharama za kufanya installation kwa fundi.
Nazijua za aina 2 tu,TAMARACK na OCTOPUS,Kati ya hizo ipi nzuri?km kuna na aina nyingine ni zipi? Naweza kupata kwa sh ngapi?
Msaada tafadhali kwa wataalam na wazoefu wa haya mambo.
Gari langu ni kwa shughuli za kifamilia na ninalipack nyumbani kwangu.
Ahsanteni.
Nataka kufunga car alarm system kwenye gari langu lakini sina utaalamu wa kujua ni kampuni gani napata car alarm nzuri na imara.Nataka car alarm system angalau isivuke tsh 200,000/ hapo ikiwemo na gharama za kufanya installation kwa fundi.
Nazijua za aina 2 tu,TAMARACK na OCTOPUS,Kati ya hizo ipi nzuri?km kuna na aina nyingine ni zipi? Naweza kupata kwa sh ngapi?
Msaada tafadhali kwa wataalam na wazoefu wa haya mambo.
Gari langu ni kwa shughuli za kifamilia na ninalipack nyumbani kwangu.
Ahsanteni.