Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

TANVORES tunawaunganisha wakulima, wafugaji na wavuvi pamoja na wachakataji wa bidhaa hizo moja kwa moja kwa wateja. Ni rahisi, tuma picha ya bidhaa zako, mawasiliano na mahali ulipo nasi...
1 Reactions
2 Replies
582 Views
Niaje kuku farm inakukaribisha wewe mfugaji mdogo na wa kati mwenye ndoto za kukuwa kwa speed nzur na kupata faida kwenye ufugaji wako katika mafunzo ya utengenezaji wa mashine za...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Nikon D3200 price;laki 6 na nusu 650k with all equipment Location Arusha +255682018204
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Naomba kujuzwa chimbo la spea za pikipiki za jumla
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie smartwatch kali inayosuport android na ios kwa bei ya jumla na rejareja t 500 Inatumia wireless charge ina kioo kikubwa full hd Unapokea simu kwenye saa yako inakutumia notification zako...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau, Nahitaji Howo tipa 6×4 Yaani yenye tairi 10. Iwe nzima, safi na tayari kwa matumizi. Iwepo Dar ili kurahisisha ukaguzi. Offer yetu haizidi 60M. Kama unayo tafadhali nitumie picha...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Wapendwa nawasalimu nyote Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Heshima kwenu. Nauza kiwanja eneo la Kigamboni Kongowe mwembemtengu. Ukubwa 25/30. Bei m5 maelewano yapo. 0718545616. Karibuni.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanabodi Natafuta fundi wanaoweza kuni-designia mini coffee shop yangu kwa namna ambayo ni ya kisasa. Mafundi wazoefu karibuni kwa michango yenu.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari waheshimiwa Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi) sifa zake Hdd 500gb ram 2gb (inaongezwa) nch 24 wide processor 2.8ghz core 2 duo graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Husika na kichwa hapo juu,siuzi moja moja kwa mtu anayetaka anayetaka itamlazim achukue zote mbili. Bei ni 220000. Napatikana Dar es salaam kwa no 0693090099.karibuni
0 Reactions
5 Replies
664 Views
Habari wana jukwaa. Ninahitaji kiwanja cha makazi DSM eneo laweza kuwa kuanzia Kimara hadi Standi mpya ya Maili Moja Kibaha umbali kutoka Barabara ya Morogoro usizidi kilometer moja.
0 Reactions
5 Replies
739 Views
Kifupi nimeona nije Mwanza kwa kuwa ni karibu.Ila nilifikiria kwenda Dar maana Nairobi kuna usumbufu kwa sababu ya covid. Nisaidieni Mwanza ni duka gani linauza hivi vitu?
0 Reactions
4 Replies
717 Views
√ cc 650 √ automatic transmission √ too economy (less fuel consumption √ sports rim (rim sport) Conditions: mint No accident history Location: dar es salaam Price: 6m See photos below
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wadau, Infinity works inatoa offer kwa wale wanaotaka kupendezesha nyumba zao kwa kuweka dirisha za aluminium. Kutokana na ugumu wa maisha na upatikanaji wa fedha, tumeamua kuwaleta offer...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari zenu, naomba msaada wenu nilikua na shida ya mafuta kwa ajili ya kutengenezea sabuni naweza kuyapata wapi maana Dar siyo mwenyeji sana. Pili nilikua naomba kuuliza kuhusu packaging za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
NIMEPANDISHA DAU WAKUU NATAFUTA TV FLAT LED TV NCHI 43 BEI YANGU NI 380K IKIWA SMART TV DAU LANGU NI 450K CASH (SMART INATEGEMEA BRAND DAU LINAWEZA KUPANDA) NAMBA YANGU NI 0769939879
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Anaejua mashine za kusaga plastics Hadi zinakuwa kama unga naomba info.. Hata kama mashine ni locally made.. Plastic kama chupa za maji na vifuniko vyake..
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Anaejua wapi zinapatikana aina zozote za machines za kusaga plastics..hapa nchini naomba anipe info. Hata locally made. Plastics nazomaanisha ni hizi kama chupa za maji na mifuniko yake.. wengine...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Grandstream gxp2140 IP Phone for sale brand New, zinapatikana kwa bei ya tsh 80000.wahi kabla mzigo haujaisha kwani zimebaki chache. contact: 0757870230
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…