Nauza line za uwakala Tigo na Airtel

Nauza line za uwakala Tigo na Airtel

window9

Senior Member
Joined
May 12, 2016
Posts
113
Reaction score
85
Husika na kichwa hapo juu,siuzi moja moja kwa mtu anayetaka anayetaka itamlazim achukue zote mbili. Bei ni 220000.

Napatikana Dar es salaam kwa no 0693090099.karibuni
 
Commission kwa Airtel na tigopesa iko vipi Sasa hivi ?

Niwekee mlolongo wake
 
Vipi kama nnataka moja tu kati ya hizo?
 
Husika na kichwa hapo juu,siuzi moja moja kwa mtu anayetaka anayetaka itamlazim achukue zote mbili. Bei ni 220000.

Napatikana Dar es salaam kwa no 0693090099.karibuni
Hazina changamoto na una vielelezo vyote hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom