Wakuu habari naomba msaada kwa anayejua kifaa hiki wapi KIinauzwa nitashukuru sana nimekwama kufanya mishe za dignosis kwenye machine yangu ya LAUNCHER
DBS SCAR 5
MODEL DS 201
Nahitaji kiwe volt...
RAHDAN is a Professional Cleaning Company in Tanzania offering services like Home Cleaning & Maid Services, Office Cleaning Services & Fumigation Services
ndugu wana JF, nataka kununua gari dogo (used) nina US $ 3,000 mkononi ambazo naweza kutoa kama downpayment katika mkopo na kulipa kidogo kidogo kwa mwezi kiasi fulani hadi kumaliza deni la...
Habari wadau,
Naomba kama kuna anayefahamu namna ninaweza kupata mizinga ya kufugia nyuki. Kwa ajili ya kuweka shambani kwangu. Ninahitaji michache kama mitano hivi.
Mimi nipo Dar es Salaam Ila...
Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako?
Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani?
Je...
Habari wana Jf kuna jirani yangu Mbezi beach upande wa Kushoto kama unaenda Tegeta na eneo liko tambalare amekata eneo lake kipande cha square meter 840 muuzaji nae yuko hapo hapo eneo lote lina...
Hisense (2020 TV) A7 series 50" inauzwa (Million 1.1)
Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:-
1. UHD TV (4K resolution)
2. VIDAA SMART OS
3. High Dynamic Range
4. DTS Studio Sound
5. Bluetooth
6...
FAM
Inatafutwa sehemu inayofaa kwa Tuition Center.
Maeneo ya Mbagala DSM kuanzia:
A) Mbagala Mission mpaka Mbagala Mzinga
B) Mbagala Rangitatu hadi Charambe kwa Mbiku.
Sehemu yoyote iliyo...
Nilinunua radio ( home cinema) zamani kidogo kwenye mwaka 2007/9 kupitia ndugu yangu aliyekuwepo Africa ya kusini na kuileta hapa nyumbani.
Bahati mbaya vibaka walivunja na kuiba hiyo radio na...
Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti
NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya.
Printing ya hii kitu
Samahani mm mgeni humu ndani sijui km nimepost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji...
Wakuu habari ya majukumu?
Naomba kusaidiwa wapi ninaweza kupata zile tochi zenye mwanga maalumu, zinazosaidia kutambua alama mbalimbali za noti, ili kubaini noti halali na noti feki...
sisi ni waandaaji wasimizi na watoa huduma katika shughuli mbali mbali kama vile sherehe, send off, kitchen part, vikao, mikutano, misiba, birthday party, nk
Pia tunatoa huduma kama vile muziki...
Tunatengeneza bustani nzuri na za kuvutia kwa ajili ya kubadilisha mazingira ya nyumbani kwako na hata ofisini kwako.Tunapatikana Tegeta, Dar es Salaam na mikoani pia tunafika, kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.