Inahitajika verosa au brevis 3m ipo

Inahitajika verosa au brevis 3m ipo

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,126
Reaction score
2,537
gari brevis au verosa inahitajika kwa pesa taslimu 3m
gari iwe katika hali nzuri yenye uwezo wa kufika sehemu yoyote tanzania..nipo mbagala zaidi nichek pm
 
gari brevis au verosa inahitajika kwa pesa taslimu 3m
gari iwe katika hali nzuri yenye uwezo wa kufika sehemu yoyote tanzania..nipo mbagala zaidi nichek pm
Mkuu unatafuta bodi lake bila shaka, utapata mkuu..
 
gari brevis au verosa inahitajika kwa pesa taslimu 3m
gari iwe katika hali nzuri yenye uwezo wa kufika sehemu yoyote tanzania..nipo mbagala zaidi nichek pm

Gari Milioni tatu?? Mkuu Aisee ukipata kwa Bei hiyo nishtue Ninunue hata 2 please
 
Duh labda kama hiyo gari imetengenezwa Buza.
mtu hata milion hujawahi iona kwa macho unakuja coment pumba
Hizi ni misambwanda ya bibi yako au? na ninanua sasa
Screenshot_2021-06-27-07-08-04-50.jpg
Screenshot_2021-06-27-07-08-33-05.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom