Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mahali: Mbezi Beach Makonde, Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000 Malipo ya Miezi: 3 au 6 Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni. Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Infinix Hot 8 Lite Model: infinix X650 XOS version : XOS v4.1.0(O-P86-190731) Android version 8.1.0 Android security patch level : August 5, 2020 Device info CPU Core Count 4 CPU Frequency...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam Sana wakuu, Naomba kujuzwa ni utaratibu gani serekali inatoa kugawa hizi chanjo na mifugo? Nina ngombe nahitaji wachomwe chanjo za ECF (East Africa fever). Nimeshaulizia madaktari kadhaa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa anae uza mashine ya kutengenezea pipi au anae jua wapi nitapata mashine ya kutengenezea pipi. Funguka please. With much thanks in advance
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Solved
0 Reactions
7 Replies
793 Views
Habarini za Mchana wana Board. Watu wengi hupata hasara wakati wa kununua magari kwa watu wengine (used vehicles), kwa sababu huwa hawana taarifa ya kutosha kutoka kwa amma wataalamu au jamaa wa...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Fridge langu mlango wake haubani vizuri. Yaani ukifunga kunabaki upenyo unaosababisha baridi kutoka nje. Najua Kuna zile lock Kama za milango ya nyumba lakini kwangu naona kama ni za kizamani Sana...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Corner plot with unfinished house located in a good neighborhood of Mbezi Beach Makonde, few metres from bagamoyo road. Plot is surveyed and It is ideal for residential purpose. Mahali...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Njoo uchukue kwa bei poa imetumika miezi 7 tu charge inakaa 3 hours nakupa na begi kqbisa bei ni 350000 haina chenga wala nini 0758844240
2 Reactions
3 Replies
755 Views
Vvyerehani vianauzwa vipo vinne kila moja LAKI MBILI NA ELFU THEMANINI 280,000/= TUPIGIE +255 626123488 +255 692160298
1 Reactions
4 Replies
764 Views
*HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5* Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya...
0 Reactions
70 Replies
15K Views
Namshukru Mungu nimekabidhi kazi ya Jengo hili kwa Mteja wngu Ni Wilaya ya Bagamoyo Tulianza Msingi mpaka hatua hii Hakika Uaminifu ni Mtaji Jengo lina vyumba vinne Master moja Self mbili Ukubwa...
15 Reactions
141 Replies
14K Views
Unahitaji mashine zilizo bora nakushauri jipatie mashine kutoka kampuni la strongtech bei yake million moja na laki mbili na nusu tu (1250000) Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe na kuicha juisi...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wadau na wanajukwaa kwa ujumla. Nitakua naleta gari ninazotumiwa na maboss wanaouza gari zao kutoka sehemu tofauti tofauti. Ungana nami sasa. TOYOTA VITZ clavia Cc 1290 Engine vvti Price...
5 Reactions
49 Replies
15K Views
Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n...
3 Reactions
120 Replies
24K Views
Nauza Tanga stones, zipo aina mbali mbali kubwa, ndogo, nyeusi, kombati n.k zipo bei tofauti tofauti namba yangu 0718755347
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Blackhorse africa ni kampuni ya kisasa yenye uwezo wakukuondolea wasiwasi wa magri yako bajaji, pikipiki na trecta, kwa teknolojia ya kisasakabisa unaweza ukakiona chombo chako cha moto kupitia...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Habari wana bodi, Mninga unauzwa, uko kwenye hali nzuri. Vibali vyote (LATRA, BIMA,MAPATO) viko hai, Ina bima kubwa(Comprehesive) Ni gea 8 Inauzwa kwa bei ya kutupwa 4omil(Price is negotiable)...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Lovely double storey house founded in a good neighborhood of Mbezibeach almas street, few metres from Mwaikibaki road, coming with four bedrooms ( all selfcontained ) plus servants quarter. Built...
1 Reactions
0 Replies
751 Views
Quadro Fx3500, Resolution 2560 X 1440 pixels = 2k Good and Powerfull for Gaming and Graphics.. I was using it for video editing... Nakupa na vga cable yake Price 70k
0 Reactions
2 Replies
581 Views
Back
Top Bottom