Habarini Wana JF mimi ni mwanafunz first year MWECAU Moshi, nilikuwa nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya chuo au hata mbali kidogo na chuo.
Msaada, nahitaji kuripoti Jumatatu ijayo.
Natafuta oats ila sijui ni kitu gani na inauzwa wapi. Kwa kiswahili nimecheki naambiwa ni shayiri ila nimesoma mahali kwamba ina porridge yake.
Sasa bado sijaipata vizuri, natafuta niende wapi...
Kwa wateja walio na mabucha mikoani na wenye supermarket ninauza samaki aina ya sato na sangara kutoka ziwa Victoria kuanzia kg. 100 nakuendelea ninakutumia popote ulipo usafiri juu yangu.
Sato...
Habari za Wakati huu Watanzania wenzangu, natumai mnaendelea vema kabisa na majukumu ya ujenzi wa Taifa Letu Pendwa. Naoma niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepata wazo la kuanza kutengeneza...
Wakuu wa Tanga Stones,
Ninayo habari njema kwa sasa licha tu ya kuuza mawe as raw materials.
Ninaye fundi anakata tiles za mawe viwango vya juu na anajenga kwa ustadi wa hali ya juu.
Karibu...
Available now
Stainless stell.
Water resistance.
Swiss made.
Quality pure.
Price 270'000.
Free delivery.
Mikoani pia unatumiwa.
Utalipia baada ya kupokea saa yako.
Calls and WhatsApp...
Chumba kinapangishwa kigamboni daraja la nyerere kodi elfu 60 mkataba miez 6 main road mpk kilipo ni mita chache sana
Umeme matumizi yako na bill ya maji 3000 kwa mwez
Haina udalali muhusika...
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Bwana Macrice Daniel Mbodo amekutana na kufanya mazungumzo ya kibishara na Maafisa Biashara wa kampuni ya MultiChoice Tanzania maarufu kama DStv...
TOYOTA IST NAMBA D NZURI (Mwaka 2004)
Haina tatizo lolote, Haijafunguliwa engin
Well maintained, Full paid documents
Engine Type 2nz, Engine capacity 1290
Haijarudiwa rangi, Full aircondition
Bei...
Tunauza bajaji zisizotumia mafuta. zinatumia betri za kuchaji. ikiwa fully charged inaweza tembea km 80 hadi 100.
Ni imara, na unapewa warranty ya mwaka mmoja. na spea zake zinapatikana kwa...
💫Njia ya Cold Press ziko namna 2,kwa kutumia Tui na kutumia nazi kavu,kaa nasi tukueleweshe;
⚡nazi zilizokomaa huvunwa kisha hukaushwa ili kuondoa Tui kubakiza mafuta.Zipo namna 2 za kukausha kwa...
*MICHIRIZI*
[emoji830]MICHIRIZI ni sehemu ya ngozi iliyokufa..kama kovu vile....Ngozi ikifa hata seli za ngozi zinapozalisha ngozi mpya pale inashindwa kuonekana maana tayari ile iliyokufa iko...
Eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 lililopo eneo tajwa hapo juu. Eneo hili lipo karibu saana wastani wa dakika tano kwenda chuoni kama litatumiwa kujenga hostel. Linafaa pia makazi nk. Umeme upo. Bei...
Je wewe ni Mjasiriamali unayetaka kurasimisha Biashara yako
Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa...
Tunauza nguo za mtumba quality za jinsia zote. Tupo kituo cha polisi sekei Arusha, mikoani pia tunatuma kwa uaminifu. Nguo zetu ni kwanzia 5,000 mpaka 50,000. Nguo ni nzuri sana, wasiliana kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.