64gb, no scratch no dent
Ina wiki mbili tangu itoke Dubai
Alikuwa anaitumia binti wa mfalme wa uarabuni
Ipo Mbagala.. kariakoo unaletewa
Unapewa na chaja yake
Bei 250k, wa 200k msinitafute
Piga...
Used bt its on exellent condition
500 GB
1 controler
Hdmi, usb and power cable
2 top games cd
- uncharted 4
- call of duty 3 black ops
Iko na 3 bonus acessories
- back cooling fen
- power bank ya...
Nyumba ipo mwembe mdogo Kigamboni
Ina vyumba vitatu kimoja master sitting
Room jiko na public toilet Bei milioni thelasini na tano (ml 35) ipo mita 200 toka lami ilipo nicheki...
Lg inch 32
Ina king'amuzi cha ndani kwa ndani (channel 7)
Ina remote control
Ina stand zake za chini
Bei 300,000 fixed
Haina tatizo but nashida nadaiwa kodi
Loc. Dsm kawe
0713096076
Habari zenu wadau wa kilimo? Naomba msaada wa maelezo ya tractor hlenye hp 50 na kuendelea.
Pili kujua ni lipi zuri kati ya 4 wheels drive na 2, tatu upatakinaji wake
Sent using Jamii Forums...
Nauza sabufa aina ya seapiano bei 120,000 imetumika miezi 3 ila kama mpya. Mzigo makini mdundo mnene
Inapatikana Ubungo Dar es salaam.
Njoo pm tumalize biashara
Nauza viwanja, vipo Chanika Zingiziwa (Dar es Salaam) km. 1.7 toka zingiziwa center. mita 20X20 (Tshs. 2,500,000/-) na 20X25 (Tshs. 3,000,000/-), kama uko serious tuwasiliane 0682826776
Wakuu nina gunia 500 za mpunga uko Kahama nauza bei ya jumla 94000/= kama ukichukua zote, rejareja ni 98,000/= karibuni wadau Unaweza kunipa connection ukapata kamishen yako namba yangu...
Hello wakuu.
Nipo natafuta chumba single. Kuanza life baada ya chuo. Naomba mwenye nyumba yoyote aliye maeneo hayo anisaidie room single
Bajeti yangu ni 60k - 80k kwa mwezi.
Dalali niseme hela...
Njoo na elfu hamsini kuna jiko la plate 2 la gesi la bati halina kazi hapa home, limetumika kama mwezi hivi
Lipo Dodoma Mjini
Tuwasiliane kwa namba 0755472769
Nyumba inauzwa Kigamboni mtaa wa kisota ambapo ni km 3.5 to kutoka darajani.
Zipo nyumba mbili kwa pamoja ,nyumba ndogo(banda la uani) na nyumba kubwa.
Nyumba ina vyumba 5 kimoja master, maji na...
Ni mfumo wa kitechnologia unaomwezesha mtoa huduma/Mfanyabiashara / Company kuwa karibu zaidi na mteja kwa njia ya messages. Tofauti na mifumo mingine, 2WM inaoption ya Chatting baina ya company...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.