Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Je wewe ni Mjasiriamali unayetaka kurasimisha Biashara yako Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa...
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Tunauza nguo za mtumba quality za jinsia zote. Tupo kituo cha polisi sekei Arusha, mikoani pia tunatuma kwa uaminifu. Nguo zetu ni kwanzia 5,000 mpaka 50,000. Nguo ni nzuri sana, wasiliana kupitia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri! wakuu, mzigo umetoka! kama uko interested in Diploma in financial market operations Diploma in Capital Debt markets Diploma inSecurities & Derivatives Huu mzigo...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Stop over auto parts, wataalam wa kuuza spares za Coaster aina zote na magari aina ya Coaster used,tumekuwa tukiwasaidia wanunuzi wa Coaster Used mambo muhimu ya kujua kabla hujanunua Coaster...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza kifaa kimoja kinaitwa nextbase dash cam ni camera inayofungwa ndani ya gari kwa ajili ya kumonitor nyendo za gari. Unaweza kuona matukio ya ndani ya gari ukiwa Popote pale kupitia simu yako...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Samahani wakuu nani anafaham viwanda vya samaki mwanza huwa mara nyingi vinanunua samaki kilo kwa bei gani? Ukitokea mtu una labda tani tano za sato au sangara
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Registration ni A, but gari ni kama mpya......engine ni 1NZ manual transmission SIO automatic....gari haina tatizo lolote zaidi ya kuwa manual[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Gari ipo Dodoma...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii kitu Arusha tunaipata ata Grocery ya mtaa lakini kila mkoa +Dar es salaam kupata ni shughuli Kwingineko ata hawajui kama kuna kitu ka iyo. Unamuuliza muhudumu yaani ata hajui kama kuna kitu...
1 Reactions
4 Replies
678 Views
Wakuu, nina shida na lines za chuo kwa upande wa Halotel na Airtel, mwenye kujua namna ya kuzipata anisaidie. Lengo langu ni lines hasa kwa ajili ya internet tu, sitaki madakika mm. Maisha...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Wakuu, Nahitaji kununua pull table used iliyo katika hali nzuri Nicheki pm kama unalo au unajua anaeuza [emoji120]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo hilo kwaajili ya kujenga hotel au camp site, lipo pembezoni mwa hifadhi ya ruaha national park, barabara imechongwa mpaka hapo kwenye eneo. Eneo limepimwa na hati ipo, ukubwa ni ekari 50, na...
2 Reactions
11 Replies
855 Views
Jipatie car washing Mashines kwa Tzs 300,000/= na Tzs 400,000/= mpya na zenye warranty ya mwaka mmoja. From RONIX A Premium Quality Products. Sifa Zake: 1. 110/160Bar Sawa na 1600Psi/2300Psi...
1 Reactions
2 Replies
989 Views
Nahitaji TV inch 50 iwe hisense, lg, Samsung au brand inayofahamika ofa laki nane kamili, nipo Dar es salaam iwe haina kipengele chochote call/whatsapp 0753285898
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kimsalaba cha chuma kama hiko katikati hapo kwenye picha. Kwa hapa Dar, duka linalouza vifaa vya aina hii linapatikana wapi? Msaada please
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii mifuko ninayo ya kutosha hata ukitaka 100, nitafute kwa hizi no 0654757823 tufanye biashara Mahali Dar es salaam mikoani nakutumia
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Mobile phone lens. Unahitaji kupiga picha za mbali za siri au zakawaida. Au wewe ni camera man Ila umekosa camera na unataka kutumia simu? Tumia lenses hii ndogo inayopachikwa kwenye camera ya...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
wadau mwenye Acer Tablet mpya au used nanunua na laki 8 cash au anayeuza samsung tablet nanunua pia iwe 16 GB kwenda mbele pm me
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanahitakija Mabinti na vijana wenye uwezo wa kutoa Huduma ya Chakula/Hotel Maombi ya kazi : Jinsi ya Kutuma maombi andika barua ya kuomba kazi ukiambatanisha na mawasiliano yako na vyeti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Samahani wadau aina gani ya laptop itanifaa? Nina 750000/= na ninahitaji laptop mpya.
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Viwanja vipo Dar es Salaam Kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha Kigamboni College of Health and Allied Science,kwa bei nzur na viwanja vimeshapimwa vipo katika michakato ya hati mita 35*35...
1 Reactions
54 Replies
6K Views
Back
Top Bottom