Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salaam ndugu zangu -Je unahitaji mtaalamu mshauri wa kukuongoza namna bora ya kulima mazao mbali mbali (Mazao ya Horticulture (Parachichi, Nyanya, Hoho, Tikiti Maji, Kabichi, Karoti, Pilipili...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Godoro ni kama jipya kabisa lina inchi 10 kwa kitanda cha 5x6 liko maeneo ya Kkoo. Bei 110,000 ila mazungumzo yapo.
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu, mimi ni kijana wa kitanzania niliyeamua kujiongeza kwa kufanya kazi za kufunga CCTV cameras, electric fence, bimetric doors n.k. Tushafanya kazi nyingi karibu tukuhudumie tuko wawili...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Habari wanajamvi, moja kwa moja niende kwenye mada ya msingi. Nahitaji sehemu tulivu nipate kuishi na familia yangu yenye mama, baba na mtoto mdogo. Vigezo; 1. Pafikike kirahisi 2. Easy...
1 Reactions
3 Replies
656 Views
Wakuu habari.. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kama wewe ni mtaalam wa decoration ya TV show kwa ukutani na uko morogoro mjini nitafte PM nikupe kazi
1 Reactions
3 Replies
912 Views
Ni saaa nzuri za kisasa za ainatofautu Zinapatikana kwa bei na fuu Pia mzgo unaweza kutumwa Au kuletewa popote ulipo Kwa galama nafuu wahi sasa Mawasiliano ni 0719257400 Niko dar maeneo ya Yombo...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Usiteseke kwenda madukani.wewe ni Mfalme kwetu tutakuketea bidhaa Yako mpaka mlangoni kwako. [emoji2788] Delivery kwa Dar-es-salaam na mikoani [emoji2788] Hata products ya bei ya chini tunakuletea...
1 Reactions
7 Replies
821 Views
Mafundi wanaita Conmix, wengine wanaita wallmaster. Bei ya soko ni tsh.110,000 mapaka 140,000, inategemea na makampuni. Ujazo kwenye makampuni ndoo Moja ni 25Kg, mimi ya kwangu ujazo wake ni 30Kg...
11 Reactions
115 Replies
16K Views
Tutumie uzi huu kuweka picha za fremu za maduka yanayopangishwa sehemu yoyote ile,tutaje pia mikoa zilizopo pamoja na bei zake. Picha ni muhimu zaidi ili kuweza kumvutia muhitaji. Karibuni......
2 Reactions
5 Replies
957 Views
Sunshare Investment Ltd. Ni moja ya viwanda na wasambazaji wa mabati bora na vifaa vingine vya kuezeka kwa sasa nchini. Vifaa hivyo vikiwa ni __________________________________________ *Bati ya...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Anahitaji kufanya biashara ya samaki fresh kutoka Mwanza ziwa Victoria awasiliane na mimi nauza in bulk. Pia wanaohitaji samaki kwa matumizi ya nyumbani karibuni tunauza ndoo kubwa na ndogo kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
NAUZA PLAYSTATION2 SLIM NA 5 GAMES KWA KILA PLAY STATION UTAPATA 5 GAMES FOR FREE KAMA UKIHITAJI NI PM KWA MAELEZO ZAIDI.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Karibu sana Kiwanja kiko Jijini Mwanza. Kata: Muhandu wilaya: Nyamagana mtaa: Galilaya kiwanja kimepimwa, beacon tayari zishawekwa ukubwa wake ni 28 by 18 hatua za miguu. Miundombinu yote...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Natafuta mtu anayeweza kuitengeneza company profile ndani ya muda mfupi tufanye biashara. Njoo inbox
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu, Nilikuwa nahitaji laptop used ya kununua .specification ziwe hizi processor core 5 au 7. Generation ya 5 au ya sita HDD 500gb bajeti yangu Ni 400000 - 500000...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii aina ya bati ni royal roma rough(material ya chenga) kwa mita moja 18,500 gage 28
3 Reactions
134 Replies
19K Views
Habari watu makini. Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko. Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu nitangulishe shukrani kwa wote mntaokuja tembelea uzi wangu. Idadi ya viroba ni zaidi ya 300 vilikuwa ni vya gysum ya good one kwa mwenye mahitaji ya viroba anicheki bei 300 kila kimoja...
0 Reactions
3 Replies
830 Views
Back
Top Bottom