Plot Zipo cheka kigamboni zimebaki mbili
Kwa pamoja Bei ya awali ml 4 kila moja sasa Bei ya punguzo kwa zote mbili ml 5.5
Ukubwa no 20×20 zipo karibu na chuo Cha Silva una weza Jenga hostel...
Zile taa za picha ya piano bado zipo sasa bei imepungua offer ya mwisho wa mwaka ilikuwa 20,000 ila sasa ni 15,000/=tu
Inamwanga unaopendezesha ndani ikiwaka picha nzuri kabisa ya piano
Unaweza...
Tunakuletea NMB salary advance!
Huduma ya kukuwezesha kupata pesa kabla ya siku ya malipo ya mshahara. Huduma hii ni kwa waajiriwa wa taasisi zote za serikali ambao mishahara yao inapitia NMB, na...
Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa.
Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe.
Shukrani...
Ramani ya vyumba vitatu , chumba kimoja masta, sebule na choo cha kushea, Ukubwa wa Ramani ni mita 9/kwa mita9/...kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649.
Nauza printer mpya Epson L810, inaprint picha, CD, ,business card za pvc n.k.
Bei ni shilingi laki saba na nusu (750, 000). Bei ya shop ni mpaka mil.1.
Nicheki 0713767579
Habari wakuu.
Jamani haka kagari nimekapenda. Engine yake ndogo 1090cc, kamenyanyuka juu halafu ni Manual. Nataka kukanunua kwa matumizi ya kuendea kazini. Nisaidieni ushauri kwa wanaojua gari...
Habari za kazi wakuu,
Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji...
Wauzaji wa samaki wa maji chumvi aina zote na bei raisi tupo DAR kivukoni,tunakuletea mpaka ulipo lakini tunakusafirishia Kama upo nje ya DAR.
Call/SMS 0711756654 na WhatsApp 0719438200
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125(used),iko dar es salaam kijichi. Bado iko vizuuri sanaa,injini haimjui fundi, full documents,na bado ina bima.
Bei ni 1450,000 (mazungumzo yapo) ukihitaji...
Ndugu zanguni heshima kwenu!
Jamani nimedondosha digital camera imekata kile kikaratasi kinachounganisha mawasiliano ya screen na camera yote, imesababisha camera ikiwaka kunakuwa na gizo tu...
Kwa mkazi wa Dsm..yeyote ambae ana dish la satelite,yale meupe, ya bati,la futi 8,naomba anicheki inbox tufanye biashara..nna matumizi nalo..liwe Used,sitaki jipya
Mfano wa dish hilo ni kama hilo...
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, kwa sasa nina soko kubwa sana la mayai ya kienyeji. changamoto ninayoface ni supply na bei ya kununulia.
Nahitaji mtu wa kunisupply Kuanzia tray 20-40 kwa week kwa...
Mwanafunzi wa chuo kilichoo maeneo ya Science anatafuta chumba cha kupanga ambapo anaweza kufika chuo kwa kupanda basi moja. Maeneo ya Riverside Kijitonyama yatapewa kipaumbele.
Hiki nikifaa chakutengenezea chapati
Inatumia mkono
Haitumii umeme
Bei ni. 40,000 tu
Dar Es salaam unaletewa
Mkoani tunatuma
ULIPO TUPO NA CHAPATI TAMU
0719257400 Karibu WhatsApp
ree-classic-store