Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Inauzwa, haina shida yoyote Bei 3.5mil Ipo Dar. 0713096076
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Kama picha zinavyoonekana wadau,hii TV inauzwa, ina ubovu. Tatizo: Mtoto aliiangusha ikapiga 'kleksi'. Inawaka vizuri na kuonesha ila picha sio nzuri tena. Kwa mujibu wa mafundi inatengenezeka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wale wakali wa decoration, Wapaka Rangi za aina mbalimbali, karibu ununue rangi kwetu na utapata maji ya kunywa buree Rangi tulizo nazo ni 1.Drewa (mineral stone) kg 25 2.Cone mix (Terrasit) kg25...
5 Reactions
54 Replies
7K Views
Wanajamvi habari kuna vitabu hapa vya wanafunzi wa masomo ya science naviuza kama ifuatavyo 1. Understanding biology for Advanced level 20000 Tsh 2. Pure mathematics 1st edition@ 10000 Tsh 3...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa bunju A Ina vyumba vitatu sitting room dining room kitchen store public toilet Uwanja ni sqm700 Inauzwa pamoja na fenicha zake ndani. Bei 150m 0762815104
5 Reactions
7 Replies
2K Views
Used Telefunken home theater speakers Model: TXM 5100A 1040Watts Location: Kibaha Bei: 300,000
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CONTENA ZINAUZWA FUTI~>40 LOCATION : MBAGALA BEI: MILLION 7 @ MAONGEZI YAPO FULL DOCUMENTS CALL ME ~>0762815104 #WHATSAPP ~>0762815104
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua - kwa anayefahamu - mahali ninakoweza kununua chupa tupu za glass za robo lita, nusu lita na lita moja kwa ajili ya kuhifadhia vitu mbalimbali. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
772 Views
Jipatie T shirt Kali za Mtumba Kwa ubora wa hali ya juu na bei nafuu..zinapatikana dar Kwa bei ya Tsh 20,000..call/what's up 0744002351
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Dar Es Salaam Darasa la CISCO-CCNA litaanza tr 01/03/2021, uandikishaji umekwisha anza. Karibuni sana: Muda: 1700-2100HRS - 4 hrs/ day Tr: 01/03/2021 - 16/04/2021 -WIKI -7 Ada: Tshs. 700,000/=...
2 Reactions
69 Replies
10K Views
Used in good condition Tajiri anahamia DODOMA Kwa maelezo ya kuchosha gonga 0715193810
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya perfume hizi zenye harufu nzuri sana tuwasiliane no. 0653405342....Bei nauza tsh.7500 Kuna Maryam perfume, salaam perfume, Al rehan perfume, Dirham perfume n.k Napatikana mbande Dar
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello guys Nauza viungo vya chakula vya Aina mbali mbali Kama; Karafuu Iliki Pilipili manga. Mdalasini. N.k
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Huu ni ujumbe mahsusi kwa wawakilishi wa makampuni, viwanda na biashara zote wakiwemo wajasiriamali. Hakuna sababu ya kuhangaika na safari za nje ya nchi kufuata bidhaa au huduma. Ni upotevu wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana jf karibuni mjipatie viti vya ofisisi kwa kila kiti unapata kwa bei ya laki 250,000 viti vipo vizur sana PIGA 0677423349 tukuletee ulipo Kama wewe ni mkazi Wa dar es salaam location ni kigogo...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Good on the road. New tyre Valid tlb. Insurance.td42 engine. Price 17m fixed call 0653 141189
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ikiwa haijapauliwa ramani ya kisasa Eneo ukubwa ni 30*25 Mahali Mbezi luois Bei milioni 35,000,000/= Mazungumzo yapo na karibu sana Mawasiliano piga sim 0713660178
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, Zipo external za transcend, used but in mint condition. 2TB kwa 100,000 FIXED 3TB kwa 200,000 FIXED Call 0712198128 Call 0712198128 Call 0712198128
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu, Ninayofuraha kuwatangazia kuwa nauza korosho bei sawa na shambani ninapatikana Dodoma, Korosho ni safi zinachambuliwa kabla ya kuzifunga na kuzipima kwny mzani ndipo...
1 Reactions
6 Replies
973 Views
Kama unasumbuliwa na tatizo la mapele baada ya kunyoa ndevu, kwapa na hata huko chini kwenye msitu wa Pande, tafuta hii dawa... Hakikisha unapaka mara baada ya kunyoa angalau kwa siku tatu...
3 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom