Habari Wakuu
Nina rafiki nje ya nchi anatafuta kuwa mbia kwenye biashara ya uwindaji wa kitalii. Kama Kuna mmiliki wa hunting block tafadhali tuwasiliane Whatsapp 0676434611.
Shukrani
Kichwa cha habari kinajieleza, niunganisheni wadau.. nguo kali mno, nicheki kwa 0738664971 tunauza jumla na rejareja. Mfanyabiashara usipate tabu ya kufungiwa usichojua kuna nini ndani...
Kwa mkulima yoyote anayeitaji kupimiwa udongo tunapima. Unaweza kuleta sample ya udongo tukakupimia ili kutambua soil pH ya udongo wako. Gharama ni Tshs 20,000/= Cash kwa kila kipimo. Majibu baada...
Habari zenu,
Mimi ni kijana nimeingia katika biashara ya maji safi, nina malori yangu ya maji safi ya kutosha, changamoto ni kupata kazi au tenda Mjini Dar.
Hivyo basi nachukua fursa hii...
Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high Quality.
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi...
Bila shaka mko vizuri.
Mwenye accounting software kwa ajili ya kuratibu collections na expenditure kwenye shule, tafadhali tuwasiliane.
Note: Isiwe na Mambo mengine Kama vile academics, sijui...
Jipatie email kwa ajili ya biashara yako kwa bei ya Tsh 35,000/= kwa mwaka.
info@biasharayako.com
sales@biasharayako.com
Tuwasiliane kwa Maelezo zaidi 0764178822
Nikikombe kinachoweza kuchemsha ama
Kupasha maji ya chai
Kwa Bei simple tu ya 30,000
Kipo dar
Natuma mikoa yote
Mawasiliano
Whatsaap.. 0719257400
Normal calls and text ...0767902788
Hello dears,
Natafuta kampuni ambayo inaweza kufanya soundproofing kwenye boardroom 2 na executive offices mbili pia. Kama mpo naomba mnicheck PM ukisema jina la kampuni, if registered, location...
Inasaga karanga kuwa rojo (Peanutbutter) pia inasaga Almond kupata almondbutter nk.Bei tsh 999,000. Uwezo kg15 kwa saa. Umeme wa majumbani. Duka lipo Kinondoni mkwajuni nyuma ya ccm. simu...
Hello JF,
Poleni sana na majukumu yenu ya kujenga Taifa, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina tafuta electronic weighing scale tatu, zenye uwezo wa mpaka 150kgs, kwa yeyote au mwenye...
Wana JF habari ya wakati huu.
Nahitaji kununua bitumen carpet zile ambazo huchomelewa sehemu ambazo zinaweza vujisha maji hasa zege la floor slab. Naweza kupata wapi hiyo bidhaa kwa anayeuza kwa...
Full paid documents, Well maintained
Engine Type 2nz, Engine capacity 1290
Haina tatizo lolote, Full aircondition
Imerudiwa rangi smart, Haijafunguliwa engine,
Bei Tsh. milioni 9.5
Maongezi yapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.